Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mnaendeleaje hapo MULEBA?Kazi yangu inanikutanisha na wanawake wengi sana, umri umekwenda, mwaka jana nikasema nioe ila mpaka leo imeshindikana, nimekaa nikatafakari sababu kwa nini sijaoa ni sababu za kijinga.
1. Madam Shija
Huyu ni wife material ila baada ya kwenda kwao nikakuta nyumba yao ni kama banda la kuku na kile choo chao ukipiga teke kinaanguka nikaona nitazalisha kizazi cha masikini katika ukoo nikaachana nae.
2. Miriam
Huyu alikuwa anazingua sana usiku wakati wa kulala anasema hawezi kulala kwenye giza anataka taa iwe inawaka chumbani usiku na mimi siwezi kupata usingizi taa inawaka, nikavumilia ila kwenda kwao hakuna umeme wa Tanesco, Rea wala sola, giza totoro nikaona huyu ni mjinga nikapiga chini.
3. Vero
Huyu ni mtoto wa mchungaji mpole sana kwanza alinidanganya ni bikra alipokuja gheto akawa hataki kutoa mzigo, hela ya kusuka nampa ila mzigo hatoi, siku hiyo nilimnasa vibao tukiwa gheto akato mzigo, ndugu msomaji breki ilikuwa mbupu, shimo la mirerani, nilimpiga chini siku hiyohiyo maana alinitia katika risk, nilijua ni bikra nikapiga dry.
4. Savera
Huyu alinitumia sms usiku kuwa baby am pregnant lengo kunipima nikafurahi nikawaambia watu wangu wa karibu kuwa mpenzi wangu ana mimba, rafiki yake akanitonya kuwa hana mimba ananitega ili anichomoe hela ya kuitoa marie stopes laki moja, siku anakuja home nikampima kinguvu hamna mimba, nilimnasa kibao cha matako na kumuacha hapohapo.
5. Cheusi
Nikiri tu mi sipendi wanawake weusi ila huyu alikuwa mtamu na mrembo sana kumuacha ilikuwa ngumu, aligeuza nyumbani kwangu hotel au glocery niseme, akitaka kuja ananiambia baby nikute savanna nunua na mboga nije nikupikia pilau, na kweli akija atapika na kunywa ila sasa ni mvivu kitandani dakika tano utasikia kachoka, geuka huku hataki, mara kadhaa anaondoka sijatosheka kwa kawaida mimi round moja ni dakika 30 mpaka 40 ,sasa dakika tano kweli?
Niliamua kumuwekea mkojo kwenye chupa ya wine hakurudi tena. Lakini sababu kubwa niliyomuacha ni kale kaharufu ka feri, hata uoge vipi hakatoki yaani hizo dakika tano mkimaliza ni harufu kali sana humo chumbani, sasa sijui ni ugonjwa au hajui kuoga.
6. Mama Junior
Huyu ni single mother ila ni mzuri sana aliachika na watoto wako kwa mzazi mwenzake, akija home lazima alie machozi ukimuuliza eti amewakumbuka watoto wake wawili amewamiss anatamani ningekuwa baba yao, pumbavuuuu.
7. Manka
Huyu yuko humu JF mpambanaji mmoja alisema hawezi kuhamia kwangu ni mbali na kazini kwao eti nihamie kwake, na yeye ni wale wale style moja tu kifo cha mende, akienda kuoga anajifunika gubigubi na hataki muoge wote, nilipompiga chini alikuja kuniambia kuwa ana makovu makalioni hakutaka niyaone.
Kupata mke kazi sana, niombeeni!
Mirium kidogo unaweza mvumilia, ukikaa nae chini ukampa somo kuwa taa zinazingua hupati usingizi Kama anaipenda ndoa atakuelwa bado hujachelewa mkuuKati ya hao saba ungechagua yupi kamani wewe
ukilala taa inawaka wachawi watakurogaje sasaHuyo Miriam uko sahihi mbona, sometimes inabidi uziamini hisia zako au masikio yako ya rohoni hunena kitu correct. Binafsi siwezi kulala huku taa inawaka.
Hongera zako mkuuMkuu unayokutana nayo sio peke yako mwanamke wa kuoa unaweza kukutana nae mara moja kwa miaka mitano yaani kuna kipindi unakutana na marue rue matupu yaani vivuruge, break mbupu, shombo za hovyo, kupigiwa live bila chenga ni shida tupu, wife material alipoingia mikononi mwangu ndio akawa mke sikutaka kujuta kabisa kwenye huu ilimwengu uliojaa wadangaji.
Kulala taa inawaka nikama vile unachunguliwa hua nahisi vile napia usingizi aipati inakua kama mchana tu mzee.ukilala taa inawaka wachawi watakurogaje sasa
Itoshe kusema nimecheka sanaKazi yangu inanikutanisha na wanawake wengi sana, umri umekwenda, mwaka jana nikasema nioe ila mpaka leo imeshindikana, nimekaa nikatafakari sababu kwa nini sijaoa ni sababu za kijinga.
1. Madam Shija
Huyu ni wife material ila baada ya kwenda kwao nikakuta nyumba yao ni kama banda la kuku na kile choo chao ukipiga teke kinaanguka nikaona nitazalisha kizazi cha masikini katika ukoo nikaachana nae.
2. Miriam
Huyu alikuwa anazingua sana usiku wakati wa kulala anasema hawezi kulala kwenye giza anataka taa iwe inawaka chumbani usiku na mimi siwezi kupata usingizi taa inawaka, nikavumilia ila kwenda kwao hakuna umeme wa Tanesco, Rea wala sola, giza totoro nikaona huyu ni mjinga nikapiga chini.
3. Vero
Huyu ni mtoto wa mchungaji mpole sana kwanza alinidanganya ni bikra alipokuja gheto akawa hataki kutoa mzigo, hela ya kusuka nampa ila mzigo hatoi, siku hiyo nilimnasa vibao tukiwa gheto akato mzigo, ndugu msomaji breki ilikuwa mbupu, shimo la mirerani, nilimpiga chini siku hiyohiyo maana alinitia katika risk, nilijua ni bikra nikapiga dry.
4. Savera
Huyu alinitumia sms usiku kuwa baby am pregnant lengo kunipima nikafurahi nikawaambia watu wangu wa karibu kuwa mpenzi wangu ana mimba, rafiki yake akanitonya kuwa hana mimba ananitega ili anichomoe hela ya kuitoa marie stopes laki moja, siku anakuja home nikampima kinguvu hamna mimba, nilimnasa kibao cha matako na kumuacha hapohapo.
5. Cheusi
Nikiri tu mi sipendi wanawake weusi ila huyu alikuwa mtamu na mrembo sana kumuacha ilikuwa ngumu, aligeuza nyumbani kwangu hotel au glocery niseme, akitaka kuja ananiambia baby nikute savanna nunua na mboga nije nikupikia pilau, na kweli akija atapika na kunywa ila sasa ni mvivu kitandani dakika tano utasikia kachoka, geuka huku hataki, mara kadhaa anaondoka sijatosheka kwa kawaida mimi round moja ni dakika 30 mpaka 40 ,sasa dakika tano kweli?
Niliamua kumuwekea mkojo kwenye chupa ya wine hakurudi tena. Lakini sababu kubwa niliyomuacha ni kale kaharufu ka feri, hata uoge vipi hakatoki yaani hizo dakika tano mkimaliza ni harufu kali sana humo chumbani, sasa sijui ni ugonjwa au hajui kuoga.
6. Mama Junior
Huyu ni single mother ila ni mzuri sana aliachika na watoto wako kwa mzazi mwenzake, akija home lazima alie machozi ukimuuliza eti amewakumbuka watoto wake wawili amewamiss anatamani ningekuwa baba yao, pumbavuuuu.
7. Manka
Huyu yuko humu JF mpambanaji mmoja alisema hawezi kuhamia kwangu ni mbali na kazini kwao eti nihamie kwake, na yeye ni wale wale style moja tu kifo cha mende, akienda kuoga anajifunika gubigubi na hataki muoge wote, nilipompiga chini alikuja kuniambia kuwa ana makovu makalioni hakutaka niyaone.
Kupata mke kazi sana, niombeeni!