Leo hii baada mzee baba kuondoka na Mhandisi Mfugale kuondoka kwa utata wa mkubwa ambao ulishangaza dunia nzima. Leo hii Temesa wameanza fyongo. Maana kazi ndogo kama service sio ya kusababisha serikali kukodisha vivuko kwa gharama kubwa.
Leo hii baada mzee baba kuondoka na Mhandisi Mfugale kuondoka kwa utata wa mkubwa ambao ulishangaza dunia nzima. Leo hii Temesa wameanza fyongo. Maana kazi ndogo kama service sio ya kusababisha serikali kukodisha vivuko kwa gharama kubwa.
Kamfufue uzikwe wewe ili aje avitengeneze?
Unaweza kutuambia ile meli ya magufuli ipo wapi? Unaweza kutuambia gharama tulichopata kwa ile meli ya wachina the so called samaki wa magufuli.
Yule keshakuwa mfu anayekereka akamfufue