Mwaka mmoja bila Magufuli: Je, Demokrasia na Uhuru wa kujieleza vimezidi kuimarika, vimepungua au tuko palepale alipotuacha?

Mwaka mmoja bila Magufuli: Je, Demokrasia na Uhuru wa kujieleza vimezidi kuimarika, vimepungua au tuko palepale alipotuacha?

Nauliza ili swali tukiwa tunaelekea kutimiza mwaka mmoja tangu Rais wa Tanzania John Magufuli afariki akiwa madarakani.

Je, hali ya demokrasia ikoje?

Je, uhuru wa kujieleza ukoje?

Je, ubadhirifu wa mali ya umma ukoje?

Je, halmashauri ufisadi hali ikoje hasa Uviko fund?

Mauwaji je, hasa maeneo ya Sukuma land ie Geita

Hali ya Nishati ikoje?

Maji je?

Nk....nk

Kuna maboresho, Udumavu au kushuka viwango?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote.

Three the Hard Way
Katoro - Geita!
HAKUNA JIPYA,WATU WANAKULA KWA UREFU WA KAMBA ZAO
 
Demokrasia imepata nafuu ndogo.. lakini uwajibikaji umeshuka kiwango Cha kutisha..
Mimi naona Bora huyu kuliko dikteta JIWE..
 
Kwakweli kwenye uhuru wa kujieleza Mh. Rais anapata 100% tatizo linakuja pale ambapo je tukieleza watendaji wana respond? Au ndiyo timebakia kelele z mlango hazimkoseshi usingizi mwenye nyumba? Uhuru wa kujieleza uendane na kusikia kisha kuyatendea yale ambayo yanalalamikiwa na wengi.
 
Nauliza ili swali tukiwa tunaelekea kutimiza mwaka mmoja tangu Rais wa Tanzania John Magufuli afariki akiwa madarakani.

Je, hali ya demokrasia ikoje?

Je, uhuru wa kujieleza ukoje?

Je, ubadhirifu wa mali ya umma ukoje?

Je, halmashauri ufisadi hali ikoje hasa Uviko fund?

Mauwaji je, hasa maeneo ya Sukuma land ie Geita

Hali ya Nishati ikoje?

Maji je?

Nk....nk

Kuna maboresho, Udumavu au kushuka viwango?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote.

Three the Hard Way
Katoro - Geita!
Inategemea maana ya demokrasia unaitafsiri vipi. Wengine huamini kuwa demokrasia ni uhuru wa kufanya fujo yoyote mradi iwe ya kisiasa na kusha ile element ya kutovunja sheria. Lakini nchi zenye demokrasia iliyokomaa kama Kanada hawaamini hivyo; wale walioleta fujo kwa kufunga daraja kugomea chanjo huko Ottawa walikipata kule cha mtema kuni kwa vile walikuwa wanavuja sheria.
 
Nauliza ili swali tukiwa tunaelekea kutimiza mwaka mmoja tangu Rais wa Tanzania John Magufuli afariki akiwa madarakani.

Je, hali ya demokrasia ikoje?

Je, uhuru wa kujieleza ukoje?

Je, ubadhirifu wa mali ya umma ukoje?

Je, halmashauri ufisadi hali ikoje hasa Uviko fund?

Mauwaji je, hasa maeneo ya Sukuma land ie Geita

Hali ya Nishati ikoje?

Maji je?

Nk....nk

Kuna maboresho, Udumavu au kushuka viwango?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote.

Three the Hard Way
Katoro - Geita!
Acha masihala mkuu 👇

Screenshot_20220220-091300.png


Screenshot_20220220-091608.png


Screenshot_20220220-092933.png
 
Back
Top Bottom