Mwaka mmoja bila Magufuli: Je, Demokrasia na Uhuru wa kujieleza vimezidi kuimarika, vimepungua au tuko palepale alipotuacha?

Mwaka mmoja bila Magufuli: Je, Demokrasia na Uhuru wa kujieleza vimezidi kuimarika, vimepungua au tuko palepale alipotuacha?

Kwa wahuni kama nyie lazima.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
yupo wapi musiba? yule bingwa wa matusi aliyelindwa na wanausalama?
yupo wapi makonda
sabaya
kabudi
na wahuni wenzenu wote waliojivisha uzalendo feki wa kuvaa skaf kwama mwigulu ?
kalifufueni sasa lile dubwasha lenu
 
Ardhi ya Wamaasai tumewauzia Waarabu.
hata magufuli alishawahi kununua nyumba/maghorofa mawili ya NIC kwa laki 6 kila moja kule area D dodoma.
aliwauzia nyumba za umma hawala zake kina kajala yle mwalimu mmiliki wa kebys
Kamfufueni
 
hata magufuli alishawahi kununua nyumba/maghorofa mawili ya NIC kwa laki 6 kila moja kule area D dodoma.
aliwauzia nyumba za umma hawala zake kina kajala yle mwalimu mmiliki wa kebys
Kamfufueni
Ghorofa mbili tena alizonunua Mtanzania mwenzetu unalinganisha na Watanzania kunyang'anywa ardhi yao halafu wanauziwa Waarabu! Are you sane?
 
Ninasikia ule moto wa Jehanam hauzoeleki, kila leo unaona afadhali ya jana.
Sijui unachoamini ila siasa isikufanye ukachukua nafasi ya Mungu.
Kwa sababu haujui mwisho wa marehemu, ni bora kuacha hukumu kwa Mwenye Kuhukumu, Mungu mwenyewe.
Una uhakika ukidondoka leo unaenda wapi? Maana huwa tunasahau kama na sisi uhai wetu utafikia tamati!
 
Mbowe harakati zake zimezimwa baada ya mashtaka feki ya Ugaidi.
 
Back
Top Bottom