Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi watu wa mungu
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Toka niachane na demu wangu mwaka jana mwez kama huu nimekuwa nikisaka mtoto mwingine wa kuwa naye bila mafanikio
Yaan kila siku natafuta demu lakin wap, kila ninaye mtongoza ananitosa na kunikataa
Yaan had namkumbuka yule demu wangu lakin kila nikipiga cm haipatikan
Nakumbuka mimi ndo nilikuwa chanzo cha kuachana baada ya kuanza kumfanyia mzalau na aliponambia nilimwambia kama vp tuachane wasichana mbona wengi sana, lakin sasa natafuta bila mafanikio
Mimi nahis huyu demu aliniloga na kunitupia mikos, kwanini sipat demu hata mwenye sura mbaya mbaya hata kama akiwa choka mbaya na kapinda mgongo
Nifanyeje nipate demu wazee
Mbona nina maisha mazur sana ninakagal ingawa ni kadogo lakin kananisaidia kwa kupigia misele
Ushaul wenu wakuu
LONDON BABY
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Toka niachane na demu wangu mwaka jana mwez kama huu nimekuwa nikisaka mtoto mwingine wa kuwa naye bila mafanikio
Yaan kila siku natafuta demu lakin wap, kila ninaye mtongoza ananitosa na kunikataa
Yaan had namkumbuka yule demu wangu lakin kila nikipiga cm haipatikan
Nakumbuka mimi ndo nilikuwa chanzo cha kuachana baada ya kuanza kumfanyia mzalau na aliponambia nilimwambia kama vp tuachane wasichana mbona wengi sana, lakin sasa natafuta bila mafanikio
Mimi nahis huyu demu aliniloga na kunitupia mikos, kwanini sipat demu hata mwenye sura mbaya mbaya hata kama akiwa choka mbaya na kapinda mgongo
Nifanyeje nipate demu wazee
Mbona nina maisha mazur sana ninakagal ingawa ni kadogo lakin kananisaidia kwa kupigia misele
Ushaul wenu wakuu
LONDON BABY