Mwaka mmoja umekatika nikisaka demu bila mafanikio

Mwaka mmoja umekatika nikisaka demu bila mafanikio

Aman iwe nanyi watu wa mungu


Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Toka niachane na demu wangu mwaka jana mwez kama huu nimekuwa nikisaka mtoto mwingine wa kuwa naye bila mafanikio

Yaan kila siku natafuta demu lakin wap, kila ninaye mtongoza ananitosa na kunikataa

Yaan had namkumbuka yule demu wangu lakin kila nikipiga cm haipatikan

Nakumbuka mimi ndo nilikuwa chanzo cha kuachana baada ya kuanza kumfanyia mzalau na aliponambia nilimwambia kama vp tuachane wasichana mbona wengi sana, lakin sasa natafuta bila mafanikio


Mimi nahis huyu demu aliniloga na kunitupia mikos, kwanini sipat demu hata mwenye sura mbaya mbaya hata kama akiwa choka mbaya na kapinda mgongo

Nifanyeje nipate demu wazee

Mbona nina maisha mazur sana ninakagal ingawa ni kadogo lakin kananisaidia kwa kupigia misele

Ushaul wenu wakuu


LONDON BABY
Tatizo unawatisha kwa mada zako za kupanda fisi na kumiliki misukule. Utaendelea kuwaona fb labda utafute guchawi gwenzako.
 
Tuliza ball, Mungu anania njema na wewe. Atakupa tu mahabuba wako siku ikifika
 
Huu uz nan kaufufua nilikuwaga shausahau
 
Ulileta uzi kua wanawake wa dar hawajaribiwi ,wakitongozwa tuu wanajaa,...leo unakuja lia hupat dem...ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu mkuu
Mkuu huwaga husahau hata kidogo
 
Achana na mademu tafuta mwanamke wa kuoa
 
Aman iwe nanyi watu wa mungu


Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Toka niachane na demu wangu mwaka jana mwez kama huu nimekuwa nikisaka mtoto mwingine wa kuwa naye bila mafanikio

Yaan kila siku natafuta demu lakin wap, kila ninaye mtongoza ananitosa na kunikataa

Yaan had namkumbuka yule demu wangu lakin kila nikipiga cm haipatikan

Nakumbuka mimi ndo nilikuwa chanzo cha kuachana baada ya kuanza kumfanyia mzalau na aliponambia nilimwambia kama vp tuachane wasichana mbona wengi sana, lakin sasa natafuta bila mafanikio


Mimi nahis huyu demu aliniloga na kunitupia mikos, kwanini sipat demu hata mwenye sura mbaya mbaya hata kama akiwa choka mbaya na kapinda mgongo

Nifanyeje nipate demu wazee

Mbona nina maisha mazur sana ninakagal ingawa ni kadogo lakin kananisaidia kwa kupigia misele

Ushaul wenu wakuu


LONDON BABY
[emoji263] [emoji263] sio chai
 
Back
Top Bottom