Mwaka mmoja wa Biden madarakani, amefeli vibaya sana

Mwaka mmoja wa Biden madarakani, amefeli vibaya sana

Biden alijinasibu na kutoa ahadi kemkemu na kumtupia lawama lukuki Trump

Ndani ya mwaka mmoja wa Biden, vifo vya Covid-19 marekani vimezidi vifo vilivyoripotiwa chini ya Trump, wakati Biden kakuta kila kitu,Chanjo, instruments na wamarekani washakuwa na ufahamu wa Covid-19.

Mmfumko wa bei kupindukia, mfumko wa Bei nchini marekani chini ya Biden ni mkubwa toka miaka 40 iliyopiita.

Kukumbwa na uhaba wa gesi na mafuta, Trump aliifanya marekani kuwa Energy independent, lakini Biden kahalibu zaidi, mpaka kutoa reserve ya mafuta ili kusawazisha Bei ya mafuta nchini umo.

Ameshindwa kizibiti uhamiaji, marekani chini ya Biden imeshuhudia uhamiaji haramu ukiongezeka, tofauti na kipindi Cha Trump, kitendo Biden kufungua mipaka kimewaudhi sana wamarekani.

Jinsi alivyojitoa Afghanistan ni kituko Cha karne, alisababisha vifo vya wanajeshi 13 kwa uzembe kabisa, wakati Trump alikuwa ashafanya makubaliano na Turban jinsi ya kujitoa, na katika makubaliano hayo hakuna mwanajeshi wa marekani alikufa Afghanistan ndani ya miezi 18.

Turufu waliobaki nayo Democrats ni tukio la January 06, Ila na Trump amewajibu kwa kishindo, alipokuwa Arizona, alijaza watu hadi Democrats wakapanic.

2024 Trump au Dessantis lazima mmoja atashinda uraisi
Sasa wewe mambo ya marekani yanakuhusu nini?
 
Biden alijinasibu na kutoa ahadi kemkemu na kumtupia lawama lukuki Trump

Ndani ya mwaka mmoja wa Biden, vifo vya Covid-19 marekani vimezidi vifo vilivyoripotiwa chini ya Trump, wakati Biden kakuta kila kitu,Chanjo, instruments na wamarekani washakuwa na ufahamu wa Covid-19.

Mmfumko wa bei kupindukia, mfumko wa Bei nchini marekani chini ya Biden ni mkubwa toka miaka 40 iliyopiita.

Kukumbwa na uhaba wa gesi na mafuta, Trump aliifanya marekani kuwa Energy independent, lakini Biden kahalibu zaidi, mpaka kutoa reserve ya mafuta ili kusawazisha Bei ya mafuta nchini umo.

Ameshindwa kizibiti uhamiaji, marekani chini ya Biden imeshuhudia uhamiaji haramu ukiongezeka, tofauti na kipindi Cha Trump, kitendo Biden kufungua mipaka kimewaudhi sana wamarekani.

Jinsi alivyojitoa Afghanistan ni kituko Cha karne, alisababisha vifo vya wanajeshi 13 kwa uzembe kabisa, wakati Trump alikuwa ashafanya makubaliano na Turban jinsi ya kujitoa, na katika makubaliano hayo hakuna mwanajeshi wa marekani alikufa Afghanistan ndani ya miezi 18.

Turufu waliobaki nayo Democrats ni tukio la January 06, Ila na Trump amewajibu kwa kishindo, alipokuwa Arizona, alijaza watu hadi Democrats wakapanic.

2024 Trump au Dessantis lazima mmoja atashinda uraisi
Hujawa na uwezo bado kumtathmini Biden amewafanyia nini Marekani

Wamarekani sio kama huko kwenu Tanzania wananchi wakiona mambo hayaendi sawa huandamana kila kona lini ulishuhudia maandamano kupingwa Biden au sera yake kupingwa? Je Trump unayemsema amekuwa akikataliwa mara ngapi ngapi wakati wa urais wake?

Atapunguza vipi vifo vya Covid wakati Serikali imejitahidi mpaka kutoa malipo nadhani $100 kwa kila atakayechanja? Covid ni janga la kimataifa watu ulimwenguni wanaumiza vichwa na kila leo kuna virus vipya vinajitokeza ambapo sasa kuna Omicron., Nchi kama Russia, Germany muda huu wana record mbaya haijawahi tokea ya maambukizi ya Corona pia alaumiwe Biden??

Yaani wewe hujuwi chochote, Afghanistan ile sera ilianzishwa na Trump huyu bwana wako ya kuondoa majeshi yao ni vile ulibaki utekelezaji na baada ya Biden kuingia madarakani akamalizia hilo zoezi ambalo kuna changamoto za hapa na pale lakini ndio ilikuwa adhima ya Marekani kufanya hivyo ili kujikita zaidi kiuchumi kuliko kutumia fedha nyingi kwa ulinzi wa Afghanistan mishahara na chakula lakini watu wao mmoja mmoja wakipoteza maisha kwa mapigano ya hapa na pale na Lengo la marekani lilikuwa ni Osama bin laden ambalo wenyewe wanaona lilishatimia kitambo.

Sera ya uhamiaji haramu ya Marekani haikutungwa na Biden, Biden anaisimamia tu kama rais lazima ufahamu hilo na utekelezaji wake kuna changamoto mbali mbali ata huyo Trump alisababisha majanga makubwa marekani kwa kuzipiga marfuku nchi 8 raia wake asikanyage Marekani

Katiba na mifumo ya nchi za Marekani huwa zinaabudiwa ni kila rais anayeingia madarakani sio kama huko kwenu ukiamka Waziri huyu ameenda kutangaza hivi mara mkuu wa mkoa anataka hivi mara rais yeye anataka hivi halafu ikawa ndio sheria za nchi.

You know nothing! piriad
 
Hujawa na uwezo bado kumtathmini Biden amewafanyia nini Marekani

Wamarekani sio kama huko kwenu Tanzania wananchi wakiona mambo hayaendi sawa huandamana kila kona lini ulishuhudia maandamano kupingwa Biden au sera yake kupingwa? Je Trump unayemsema amekuwa akikataliwa mara ngapi ngapi wakati wa urais wake?

Atapunguza vipi vifo vya Covid wakati Serikali imejitahidi mpaka kutoa malipo nadhani $100 kwa kila atakayechanja? Covid ni janga la kimataifa watu ulimwenguni wanaumiza vichwa na kila leo kuna virus vipya vinajitokeza ambapo sasa kuna Omicron., Nchi kama Russia, Germany muda huu wana record mbaya haijawahi tokea ya maambukizi ya Corona pia alaumiwe Biden??

Yaani wewe hujuwi chochote, Afghanistan ile sera ilianzishwa na Trump huyu bwana wako ya kuondoa majeshi yao ni vile ulibaki utekelezaji na baada ya Biden kuingia madarakani akamalizia hilo zoezi ambalo kuna changamoto za hapa na pale lakini ndio ilikuwa adhima ya Marekani kufanya hivyo ili kujikita zaidi kiuchumi kuliko kutumia fedha nyingi kwa ulinzi wa Afghanistan mishahara na chakula lakini watu wao mmoja mmoja wakipoteza maisha kwa mapigano ya hapa na pale na Lengo la marekani lilikuwa ni Osama bin laden ambalo wenyewe wanaona lilishatimia kitambo.

Sera ya uhamiaji haramu ya Marekani haikutungwa na Biden, Biden anaisimamia tu kama rais lazima ufahamu hilo na utekelezaji wake kuna changamoto mbali mbali ata huyo Trump alisababisha majanga makubwa marekani kwa kuzipiga marfuku nchi 8 raia wake asikanyage Marekani

Katiba na mifumo ya nchi za Marekani huwa zinaabudiwa ni kila rais anayeingia madarakani sio kama huko kwenu ukiamka Waziri huyu ameenda kutangaza hivi mara mkuu wa mkoa anataka hivi mara rais yeye anataka hivi halafu ikawa ndio sheria za nchi.

You know nothing! piriad
Wewe ndo useless kabisa, unajitetea kwenye Covid-19 eti ni janga, mbona Democrats walimuandama Sana Trump kuwa haja-take control ya Covid-19,,,

Chini ya Trump America ilikuwa energy independent sahivi hapana,, Chini ya Biden Kuna inflation ya kutisha, since 40yrs ago, Kwenye Border security Trump alitisha Sana, sahv wahamiaji haramu wanaingia marekani kila siku, wamarekani wengi wamechukia Sana.

Biden alivyojiondoa Afghanistan, alijiondoa kijinga Sana, na Hilo analaumiwa every day,

Finally jamaa ameferi vibaya mno,sema fake news media kina CNN wanambeba
 
Back
Top Bottom