Mwaka mmoja wa Biden madarakani, amefeli vibaya sana

Nchi yako yenyewe ina mapungufu ya kutosha vipi huyaoni ama, achana na nchi zilizopiga hatua kimaendeleo na kiasi pia
 
Nchi yako yenyewe ina mapungufu ya kutosha vipi huyaoni ama, achana na nchi zilizopiga hatua kimaendeleo na kiasi pia
Nyie endelea na upuuzi wenu wa kumbambikia watu kesi, ushasikia Biden kambambikia kesi Maccanell(Senetor minority)
 
Nyie endelea na upuuzi wenu wa kumbambikia watu kesi, ushasikia Biden kambambikia kesi Maccanell(Senetor minority)
Una akili timamu wewe, huna cha kuishauri Marekani na upimbi wako huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…