Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
- Thread starter
- #21
inawezekana saana
hapo nimekuelewa sasa lol
Ahsante kaka,
Sasa naomba unisaidie hapa...Haya mambo ya kuendekeza ma EX kwenye ndoa, tutadeal nayo vipi ili tuache kuvuruga hii taasisi?
Eti unakuta mtu ana namba za simu za ma EX wake kibao, kwenye FB huko ndo usiseme....program zao na events zao zinakuwa muhimu wakati mwingine kuliko hata za wanafamilia??
Tutaweza kujenga ndoa namna hiyo??