Mwaka mpya wa 2012: Tuimarishe ndoa zetu…

Mwaka mpya wa 2012: Tuimarishe ndoa zetu…


...lol,...waogopa ee?...angekuita maiti, mfu, etc yote ni marehemu mtarajiwa...anyway,
nilivyomuelewa mzee wetu hapa, ana maanisha kama kifo...ipo siku utaoa/kuolewa...
weye ni bi harusi mtarajiwa.

naogopa sana huo umarehemu mbu.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
naogopa sana huo umarehemu mbu.

...usijali dear, madhali tumezaliwa, kufa kupo...ila kwakuwa leo ni tarehe mbili january,
hesabu tuna siku nyingine 364 zimebakia panapo majaaliwa...

...utaolewa lini mamie, siku hazigandi!
 

...i know dearie, i know,....ila uvumilivu, kwa mtazamo wangu unachukua nafasi ya kwanza kuliko mapenzi kwenye hizi ndoa. Mapenzi yaweza kupungua au hata kutoweka, ila uvumilivu ukipungua na kutoweka athari zake ni kubwa zaidi.

hivi hizi ndoa za cku hizi ha2hubiriwi upendo tena bali uvumilivu?...mhhh juzi naongea na mama nyamayao naambiwa vumilia 2 mwanangu....hii vumilia ipo upande mmoja 2?....haya bwana...HAPPY NEW YEAR KWENU NYOTE...ngoja 2endelee kuvumilia.
 
mi mzima babu. Thread za ndoa ndoa huwa zinanipa kizunguzungu kuzisoma. Sijapitia kila post. Nikiingia kwenye ndoa nafikiri nitaanza sehemu nyingine ya maisha ila kikubwa nimpate atakaenipenda na mi nikampenda, yaani tupendane. Kutuita marehemu watarajiwa umemaanisha nini?

Hus,

Jipe moyo na uache kukimbia kivuli chako...piga ua, ipo siku utafanya uamuzi..ama kuzama mzima mzima au kuendelea na maisha ya bado nipo nipo kwanza..... Jitahidi basi upitie pitie ujipatie salio la kuanzia.....!!

Hapo kwenye blue, kama sie tunaoelea kwenye mashua ya ndoa tunaweza kuitwa maiti, basi na nyie ambao bado mpo mpo ni maiti watarajiwa......

Hapo vipi, imeeleweka??


...lol,...waogopa ee?...angekuita maiti, mfu, etc yote ni marehemu mtarajiwa...anyway,
nilivyomuelewa mzee wetu hapa, ana maanisha kama kifo...ipo siku utaoa/kuolewa...
weye ni bi harusi mtarajiwa.


Safi kabisa kaka,

Pia anaweza kuwa towashi mtarajiwa, mwizi wa waume za watu matarajiwa au mtarajiwa wa kukuoteza okoteza!!

Sijui kama kuna option nyingine, only time will tell!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

...usijali dear, madhali tumezaliwa, kufa kupo...ila kwakuwa leo ni tarehe mbili january,
hesabu tuna siku nyingine 364 zimebakia panapo majaaliwa...

...utaolewa lini mamie, siku hazigandi!

heee bro! hus bado mdogo ucmkomaze na haya mandoa yenu ya kuvumilia mpaka ukamilifu wa dahari.
 



...utaolewa lini mamie, siku hazigandi!

Hahahahaha. . . .mi mtu akiniuliza namwambia "siku atakaponiletea mchumba."

Hivi kumuuliza hivi ndugu au rafiki ni sahihi kweli?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hus,

Jipe moyo na uache kukimbia kivuli chako...piga ua, ipo siku utafanya uamuzi..ama kuzama mzima mzima au kuendelea na maisha ya bado nipo nipo kwanza..... Jitahidi basi upitie pitie ujipatie salio la kuanzia.....!!

Hapo kwenye blue, kama sie tunaoelea kwenye mashua ya ndoa tunaweza kuitwa maiti, basi na nyie ambao bado mpo mpo ni maiti watarajiwa......

Hapo vipi, imeeleweka??




Safi kabisa kaka,

Pia anaweza kuwa towashi mtarajiwa, mwizi wa waume za watu matarajiwa au mtarajiwa wa kukuoteza okoteza!!

Sijui kama kuna option nyingine, only time will tell!


msiwatishe watoto/vijana......
 
naogopa sana huo umarehemu mbu.

Utaogopa hadi lini Hus,

Kuna kabila moja huwa wana msemo kuwa, kila mtoto akue ila mwisho wake ataoelewa/kuolewa.

Anyway, ondoa woga na usonge mbele labda kama bado wewe ni teen!

Babu DC
 
DC......kwema Ta lakini mkiuu??
Hapo kwenye number 1 hapo ndo mi nipo hapo, sipaachii mwaka huu.

Nyamayao, nimekumisi asee....upo mama?

Lizzy, heri ya mwaka mpya.
 
hivi hizi ndoa za cku hizi ha2hubiriwi upendo tena bali uvumilivu?...mhhh juzi naongea na mama nyamayao naambiwa vumilia 2 mwanangu....hii vumilia ipo upande mmoja 2?....haya bwana...HAPPY NEW YEAR KWENU NYOTE...ngoja 2endelee kuvumilia.

Nadhani wanafanya hivyo kwasababu hata kama unampenda mwenzako kiasi gani, usipoweza kuvumilia madudu anayilokufanyia hakutakua na ndoa tena hapo. Ila ukiweza kumvumilia hata kama upendo "umeenda safari na haujulikani utarudi lini" bado mtabaki kuwa wanandoa hata kama huko ndani mtakua mnaact tofauti.
 
Hahahahaha. . . .mi mtu akiniuliza namwambia "siku atakaponiletea mchumba."

Hivi kumuuliza hivi ndugu au rafiki ni sahihi kweli?

huku 2naparangana kufa na kupona bado hao hao wanauliza haya maswali.....haya bwana, ndoa zilikuwa enzi hizo za sasa kama unataka pressure/kisukari karibu sana...huwaga nawahurumia wadada wa kileo jamani cjui mtayaweza?
 

...usijali dear, madhali tumezaliwa, kufa kupo...ila kwakuwa leo ni tarehe mbili january,
hesabu tuna siku nyingine 364 zimebakia panapo majaaliwa...

...utaolewa lini mamie, siku hazigandi!

Kweli kaka,

Ni muhimu kujua ili tuweze kuweka budget ya michango ya harusi kwa 2012.....At least unaweza kutenga kama 10mil (Tshs) mapema kabisa!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
huku 2naparangana kufa na kupona bado hao hao wanauliza haya maswali.....haya bwana, ndoa zilikuwa enzi hizo za sasa kama unataka pressure/kisukari karibu sana...huwaga nawahurumia wadada wa kileo jamani cjui mtayaweza?

Hahaahah. . .
Nyamayao kwani wadada wa kileo tukoje jamani?
Au wakaka wa kileo ndio tatizo?
 
Nadhani wanafanya hivyo kwasababu hata kama unampenda mwenzako kiasi gani, usipoweza kuvumilia madudu anayilokufanyia hakutakua na ndoa tena hapo. Ila ukiweza kumvumilia hata kama upendo "umeenda safari na haujulikani utarudi lini" bado mtabaki kuwa wanandoa hata kama huko ndani mtakua mnaact tofauti.[/QUO

wa2 2na act kina Kanumba cha mtoto...haya bwana ngoja 2subirie mpaka cku m2 utakapoamua kuamka asubuhi na kufungasha masalifeti yako...(when a woman is fed up)..inakera sana.
 
hivi hizi ndoa za cku hizi ha2hubiriwi upendo tena bali uvumilivu?...mhhh juzi naongea na mama nyamayao naambiwa vumilia 2 mwanangu....hii vumilia ipo upande mmoja 2?....haya bwana...HAPPY NEW YEAR KWENU NYOTE...ngoja 2endelee kuvumilia.

Happy New year na wewe dada,

Mie nadhani tunahitaji kuwaeleza sana hawa vijana kwamba wasiingie kwenye ndoa na dreams za mapenzi ya kwenye TV badala yake wabebe magunia ya uvumilivu, kwani hiyo itakuwa ni asset ya nguvu sana. Hata hivyo ni muhimu kujiandaa kutoa upendo wa hali ya juu na kutegemea kupewa kidogo tu. Ila kwa kuwa watakuwa na salio la kutosha la uvumilivu basi hawatayumba!

Nahofia sana ninaposikia vijana wakiongelea hayo mambo yao wanaita love, love, love,..... ambayo binafsi sijui kama maana yake sahihi kwa kimatumbi chetu ni upendo!!

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom