Mwaka mzima kavukavu!





Epuka kupiga puli na kuangalia picha za ngono, hizo ndio zitakuaribu kabisaaa!
 
mmmmhhhhh bwana hakuna cha madhara wala nini ...
hujaona ile thread ambayo bibi anamiaka 107 na hajawahi fanya maishani mwaka mwote...

duuuuhhh ndugu yangu inabidi unifumulie kidogo uliisheje mwaka bila ...................???
najua unaweza ukawa unaji keep busy with other things....
lakini mwaka ni mwingi sana muheshimiwa ...lol
 
Hiyo mbona poa tuuu, hilo jambo sio lazima, zaidi sana hapo ndiyo charge zinaongezeka mara mia!!!!!!!
 


Hebu fanya uoe achana na mambo ya kuchakachua.

Shukuru Mungu possibility ya kuwa affected na HIV na kuugua AIDS ni mdogo kwako.
 
inamaana huko hamna kona bar?
 

kinaota kutu pia hahaaaa. Uko uarabuni?
 
Ndugu uliyedai Scandinavia wako "reserved" kivipi wakati wenyewe huchakachuliana kisimamiecho kwenye mabustani na subways kavukavu? Labda ni mashambani lakini mijini hakuna cha "reserved" wala nini. Suala la ubaguzi linachangia kwa kiasi kikubwa. Maana wanawake wanaogopa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na watu weusi kwakuwa wanaweza hata kutengwa na jamaa na ndugu zao...Akitokea mmoja akajitoa muhanga ndio inakuwa bahati....
 
wa kona baa hawahitaji skill yoyote we na pesa yako tu......
 
Hayo ndio yaliyopo huku kwani hata kaka zao wana wivu Balaa.
 
Nawashukuru sana kwa michango yenu nitajaribu na kutekeleza yale niliyoyapata hakika kuna vitu humu nimevipenda ila wale walionitajia maeneo ya Kona Bar, na sehemu kama za KIMBOKA pale Buguruni, Mrina pale Arusha, Chako ni Chako pale Dodoma, Kaumba pale Morogoro mmenikumbusha mbali kwani maeneo hayo hayana haja ya kutumia nguvu wala kutongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…