Mwaka umeanza vibaya. Inauma ila hamna namna.

Mwaka umeanza vibaya. Inauma ila hamna namna.

Jana nimemwambia My girlfriend. Kuwa sitokuwa tayari kuendelea kuwa naye. Hivyo nam release. Ili mimi nikatafute changamoto nyingine.

Amelalamika na kulia sana. But nimemwambia sina namna. Nimemuuliza kama yupo tayari tuendelee kuwa pamoja ila asitegemee niwe nampa pesa. Amenyamaza hajajibu hiyo text. Ni kama hajaiona. Ila anataka tuendelee kuwa pamoja.

Kiukweli mimi mwaka huu malengo ni kutokuhonga hata thumni.

Unanipenda, Ninakupenda, Tunapendana, Tunapeana.

sitaki shida. Una baba yako nami ninaye wangu. Tukutane kwenye kupeana tu. Shida zako kaa nazo nami zangu nakaa nazo.

Una hoja usikilizwe
 
Jana nimemwambia My girlfriend. Kuwa sitokuwa tayari kuendelea kuwa naye. Hivyo nam release. Ili mimi nikatafute changamoto nyingine.

Amelalamika na kulia sana. But nimemwambia sina namna. Nimemuuliza kama yupo tayari tuendelee kuwa pamoja ila asitegemee niwe nampa pesa. Amenyamaza hajajibu hiyo text. Ni kama hajaiona. Ila anataka tuendelee kuwa pamoja.

Kiukweli mimi mwaka huu malengo ni kutokuhonga hata thumni.

Unanipenda, Ninakupenda, Tunapendana, Tunapeana.

sitaki shida. Una baba yako nami ninaye wangu. Tukutane kwenye kupeana tu. Shida zako kaa nazo nami zangu nakaa nazo.

Sasa kama hana baba je?
 
Kuna comment hapo juu inasema love is for the weak , kama inakuja hivi afu inakataa.
 
Jana nimemwambia My girlfriend. Kuwa sitokuwa tayari kuendelea kuwa naye. Hivyo nam release. Ili mimi nikatafute changamoto nyingine.

Amelalamika na kulia sana. But nimemwambia sina namna. Nimemuuliza kama yupo tayari tuendelee kuwa pamoja ila asitegemee niwe nampa pesa. Amenyamaza hajajibu hiyo text. Ni kama hajaiona. Ila anataka tuendelee kuwa pamoja.

Kiukweli mimi mwaka huu malengo ni kutokuhonga hata thumni.

Unanipenda, Ninakupenda, Tunapendana, Tunapeana.

sitaki shida. Una baba yako nami ninaye wangu. Tukutane kwenye kupeana tu. Shida zako kaa nazo nami zangu nakaa nazo.
Mkuu huu Mwaka tukisema tuende na huu Msimamo tutatoboa sana
 
Naona ndio pigo zenu mpya he heeee Bora tuachane tu jamani

Huyu si ndiye anajiita kuwa anamisimamo ya kiume.
Kama anashindwa na demu wake kwa sababu ya kitoto kama hiyo uanaume uko wapi?

Ndio shida ya vizalia vya mambumbumbu, ukiyakuta yanamaneno na kasumba za kizamani lakini kwenye majukumu ya kiume yapo Zero

Sasa zenu unayempenda kumtunza nayo ni sababu ya kuvunja mahusiano tangu lini?
 
Back
Top Bottom