Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Jana nimemwambia My girlfriend. Kuwa sitokuwa tayari kuendelea kuwa naye. Hivyo nam release. Ili mimi nikatafute changamoto nyingine.
Amelalamika na kulia sana. But nimemwambia sina namna. Nimemuuliza kama yupo tayari tuendelee kuwa pamoja ila asitegemee niwe nampa pesa. Amenyamaza hajajibu hiyo text. Ni kama hajaiona. Ila anataka tuendelee kuwa pamoja.
Kiukweli mimi mwaka huu malengo ni kutokuhonga hata thumni.
Unanipenda, Ninakupenda, Tunapendana, Tunapeana.
sitaki shida. Una baba yako nami ninaye wangu. Tukutane kwenye kupeana tu. Shida zako kaa nazo nami zangu nakaa nazo.
Jana nimemwambia My girlfriend. Kuwa sitokuwa tayari kuendelea kuwa naye. Hivyo nam release. Ili mimi nikatafute changamoto nyingine.
Amelalamika na kulia sana. But nimemwambia sina namna. Nimemuuliza kama yupo tayari tuendelee kuwa pamoja ila asitegemee niwe nampa pesa. Amenyamaza hajajibu hiyo text. Ni kama hajaiona. Ila anataka tuendelee kuwa pamoja.
Kiukweli mimi mwaka huu malengo ni kutokuhonga hata thumni.
Unanipenda, Ninakupenda, Tunapendana, Tunapeana.
sitaki shida. Una baba yako nami ninaye wangu. Tukutane kwenye kupeana tu. Shida zako kaa nazo nami zangu nakaa nazo.
Baba ako angekuwa mbali na wanawake wewe usingepatikana.UKITAKA KUFANIKIWA NA KUWA NA SAUTI NA NGUVU KATIKA JAMII EPUKA WANAWAKE
na nukuuUKITAKA KUFANIKIWA NA KUWA NA SAUTI NA NGUVU KATIKA JAMII EPUKA WANAWAKE
hahahaNaona dronedrake mwaka huu utapata wanachama wengi sana
Mkuu huu Mwaka tukisema tuende na huu Msimamo tutatoboa sanaJana nimemwambia My girlfriend. Kuwa sitokuwa tayari kuendelea kuwa naye. Hivyo nam release. Ili mimi nikatafute changamoto nyingine.
Amelalamika na kulia sana. But nimemwambia sina namna. Nimemuuliza kama yupo tayari tuendelee kuwa pamoja ila asitegemee niwe nampa pesa. Amenyamaza hajajibu hiyo text. Ni kama hajaiona. Ila anataka tuendelee kuwa pamoja.
Kiukweli mimi mwaka huu malengo ni kutokuhonga hata thumni.
Unanipenda, Ninakupenda, Tunapendana, Tunapeana.
sitaki shida. Una baba yako nami ninaye wangu. Tukutane kwenye kupeana tu. Shida zako kaa nazo nami zangu nakaa nazo.
Sana aiseee.... Na wazazi na familia zetu zitashamiri sana. Nadhani lipitishwe Azimio.Mkuu huu Mwaka tukisema tuende na huu Msimamo tutatoboa sana
Naona ndio pigo zenu mpya he heeee Bora tuachane tu jamani
Kuna wajinga watasaliti mapambano tu kwa kigezo kwamba wana helaSana aiseee.... Na wazazi na familia zetu zitashamiri sana. Nadhani lipitishwe Azimio.
Wale ni vilaza.... Siku zote nawaambia hawa ndo huondoka kwenye ma group yetu ya wanaume wanaenda kujiunga kule.Kuna wajinga watasaliti mapambano tu kwa kigezo kwamba wana hela
NAKAZIA HAPA.Love is for the weak…
nimeipenda hiiiUKITAKA KUFANIKIWA NA KUWA NA SAUTI NA NGUVU KATIKA JAMII EPUKA WANAWAKE