Mwaka unaisha, kama vijana yafaa kuwekana sawa. Tunahitaji kuanza upya

Mwaka unaisha, kama vijana yafaa kuwekana sawa. Tunahitaji kuanza upya

Madini tosha hapo kwenye mapenzi umenigusa huu mwaka kidogo nipoteze kazi kisa mapenzi
 
Sjui neno gan linafaa, ila itoshe tu kusema "ur genious" na yote uloandika n ukweli mtupu.

Ila jaman jf ina waandishi wazur daaah asee kuna watu wanajua kupangilia hoja kama analyse, robert heriel, mshana, deeppond(aka mchepuko wa mama J) na wengne wengi. Am proud of JF.
 
Hzo
Umemaliza kila kitu japo sijapitia hustle zozote ila nisipo badilika naona nitaharibu CV yangu na watu washindwe kunisaidia ninapokwama maana sio muda wote familia itanishika mkono maana ndio kwanza naingia mtaa kuanza kupambana.

KUNA MAMBO INABIDI NIBADILISHE

[emoji3] Nina jeuri fulani hivi ya kuwachukulia poa watu, sijali yoyote.

[emoji3] Kuhonga wanawake na kutumia pesa hovyo kwa kujifariji kua tunaishi mara moja, hapa inbidi nibadilike sana maana.

[emoji3] Mahusiano serious yoyote sijawahi dumu nayo lazima tuvurugane tu, maana kuna muda umepata ka ishu mkoa ukakapige labda miezi kadhaa anaanza maneno usiende yeye atabaki na nani.

[emoji3] Uaminifu ninao sinaga tamaa na mali ya mtu sema tatizo ni kulingana na misimamo yangu isio na maana(sina kazi halafu nachagua sana kazi, nazikataa kazi zenye mishahara ya laki 3/4) naonekana kama mhuni fulani hivi jeuri sana.

[emoji3] Mitandao ya kijamii kuposti ujinga ujinga mwingi hasa status za WhatsApp naweka ninachojisikia kuna muda nilikua naambiwa kabisa sema najibu jeuri.

Ubarikiwe mkuu huu uzi umeuleta wakati muafaka kabisa maana ulivyo viandika nilikua katika mchakato wa kuvifanyia kazi baada ya kupewa ushauri kutoka kwa sister ni kama kakutuma uje upigilie msumari.
Hzo kazi za laki 3/4 ukipata sku nyngne naomba nipasie mkuu.
 
Hujasoma alichokifanya mwenzetu Sasa umejuaje Kama alichokiandika Ni kizuri? Rudi tu ukasome maana huo Uzi umejaa madini tupu aisee!
Sijasoma ulichoandika ila kwa kweli nmependa sana ulichokiandika hakika vijana tukifata alichokiandika mtoa mada tutafika mbali sana, nimependa hapo uliposema 'tusisahau kufanya mapenzi' hakika ni jambo jema.
 
Analyse hongera sana kwa kutuandalia Uzi mzuri uliojaa nasaha.Hakika umefanya Jambo jema Sana na Mungu akubariki kwa Hilo.
 
Kwa kuongezea kwa vijana wenzangu;
Hakikisha unafahamu maana ya vitu hivi 3 katika mafanikio ya mwanadamu yoyote,
(1)Akili
(2)Elimu
(3)Uelewa

Kwa waliozaliwa Dar jaribu kutoka nje ya mkoa,tengeneza marafiki wapya,
Karibuni Katavi!
 
Karibuni Singida huku matumizi ni chini ya dola moja kwa siku [emoji851]
 
Uaminifu ndio chanzo cha wengi kutofanikiwa. Weupe wote uaminifu kwao ndio chanzo cha kufanikiwa kwao
Uaminifu unatufelisha sana. Alaf tunachukulia mambo simple sana
 
Halafu sijui nani anawapotosha vijana, kusoma ni kufanikiwa.Kufaulu Maisha ni free race ni SAwa na mbio za marathon.
Watu tunaotakiwa kuwaweka karibu, huwa tunawatenga. Na wale ambao tunatakiwa kukaa nao mbali, ndio huwa tunawakumbatia
 
Hujasoma alichokifanya mwenzetu Sasa umejuaje Kama alichokiandika Ni kizuri? Rudi tu ukasome maana huo Uzi umejaa madini tupu aisee!
Madini nimeyapata mengi sana ht kabla ya huo uzi kuja, hvy ht nikisoma hakuna jipya ntakalopata
 
Ulimwengu umebadilika Ili ufanikiwe unahitaji zaidi taarifa na sio vyeti. Rundo la vyeti sio garantii ya kufanikiwa
Taarifa ni kitu vital katika kila tunachotaka kufanya. Ila bahati mbaya ,hatukupagi kipaumbele
 
Umeandika vyema ila namba.7 sikubaliani na wewe.Ukiwa kama kijana mpambanaji na mwenye malengo,kama binadamu unapaswa kuwa na mwenza mpambanaji mtakayeinuka pamoja kuyafikia mafanikio.Hata ukiwa masikini unastahili mwenza ambaye mtasaidiana kiakili.Pia kama mwanaume utahitaji familia yako.Je utasubiri mpaka miaka 50 ukifanikiwa ndio utafute mke na familia?
Broh, hivi unajua kuna baadhi ya wanawake/wanaume kila anayeingia nae kwenye mahusiano huwa anamchukulia ni mpenzi wa ndoto zake?

Ili ufanikiwe unahitaji mtu wa kukusupport, ilo halina ubishi. Na ukiwa na mpenzi ambae ni focused, utapigwa hatua sana. Ila sio kila unayeingia nae kwenye mahusiano anafaa akae.

Hata hao uliowatolea mifano, am sure hao sio wapenzi wao wa kwanza. Na mpaka kufikia hatua hiyo hawakukurupuka, kuna vitu waliona vilivyowafanya wakomae nao.

Imagine unatakiwa kufanya kitu A, mpenzi wako anataka B, lazima uyumbe
 
uzibora wamwaka huu naujao. kinacho watesa vijana ni tamaa wakiweza kishinda tamaa Basi watafanya mambo kwautulivu mkubwa sana na ndipo watakapo fanikiwa. ila kwasasa wanna mapepe mengi mtu anatamani nyumba Kali kazi yamaana hana anashinda kijiweni.
Tunakosa focus
 
Vijana hawafanikiwi sababu wanawaza ngono mda wote, we cheki uzi za ngono zinavyokimbia kuliko uzi za positive changes. Ngono na umasikini vinaendana maana nyuma ya UCHI kuna KIFO cha kiroho na kiuchumi pia.
Vichwa vimejaa mapenzi 😅😅
 
Uzi ni mzuri shida wabongo wakiangalia tu heading awagusi post mada za ngono uone uzi utakavyokimbia. Taifa la vijana masikini uwaza ngono mda wote na umasikini ni sehemu ya maisha yao
It's a matter of selection mkuu. Kila mtu anaangalia akipendacho
 
Taarifa ni kitu vital katika kila tunachotaka kufanya. Ila bahati mbaya ,hatukupagi kipaumbele
Maarifa ya Maendeleo yote yapo Youtube mtu anaona bora akanunue malaya na sio bando.
 
Back
Top Bottom