Mwaka unakaribia kuisha unamwambia nani nini?

Mwaka unakaribia kuisha unamwambia nani nini?

Mimi napenda kumwambia Intelligent businessman aoe mke wapili ache michepuko ili tumuone next year, pili na mwambia National Anthem aoe usingle 2024 hautajiki au tunakuuza ukawe mtumwa huko kwa waarabu , Lovelovie I miss you umepotea jamani babe wangu,Joannah my dear upo?? Pridah outing mama nilini na wapi?? mshamba_hachekwi kasome mdogo wangu uwe nakazi nzuri baadae . Cute Wife nakuombea upate madanga yenye faida sio hasara
Mbona huja mtag kijana wangu Mwachiluwi
 
Wapi ukija kwangu utazimia huwezi hujawahi , walio wahi hawana mdomo wameshiba wewe ni kimeo tu umeshadata na kwenye file letu hunakichaa kidogo unachk kikubwa sura yako inaonyesha tu hata ulivyoletwa hospitalini ukuwa unaonyesha wewe hamnazo so ongea sana hapa ila kaa ujue wewe dishi limedondoka

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo mbavu zitaniuma hapa
 
Wapi ukija kwangu utazimia huwezi hujawahi , walio wahi hawana mdomo wameshiba wewe ni kimeo tu umeshadata na kwenye file letu hunakichaa kidogo unachk kikubwa sura yako inaonyesha tu hata ulivyoletwa hospitalini ukuwa unaonyesha wewe hamnazo so ongea sana hapa ila kaa ujue wewe dishi limedondoka
Tafadhali nihifadhie yale Mafuta yangu ili nikija tena Kwako niyatumie katika Kulainisha Gear Box yangu tukuka ya Gari ili nikipita nawe Kwa Mpalange Road Gari yangu isikwamekwame sawa?
 
Back
Top Bottom