Hii nchi inahitaji mtu sio mifumo. Mifumo ilishafeli.Tumuulize waziri wa fedha...
Kuna mahali nilisoma kuwa hawana fedha....
Kuna kile kipande cha kigogo to msimbazi centre kwenye BRT 2 sijui kunaendelea nini..
Mm mpka sasa bado najiuliza stand za mwendokas zitakuwa wapBarabara ya Kimara hadi Kibaha ilijengwa kwa kasi kubwa hadi tukasema shkamoo chama tawala. Oyaoya mara lakutokea likatokea na hapo ndio ikawa mwisho wa mwanzo wenye kasi. Miaka mitatu sasa hata street lights tu za solar wameshindwa kumalizia, mwendokasi wanaisoma namba kwenye foleni na barabara yao wanaiona ila hawana namna. Matumaini yanazidi kufa kila ukifika Kimara kuelekea ubungo baada ya kukutana na foleni kali kuanzia stop over, na unabaki unashangaa kivipi barabara 3 zinakua finyu tena kuelekea mjini. Anyway wabongo akili zishaanza kukaa sawa
Hakuna vituo katikati, kwa taarifa ni kuwa bus la mwendokasi litakua linatoka njia yake linakuja kupakia kwenye vituo vya kawaida vya daladala halafu linarudi tena njia yakeMm mpka sasa bado najiuliza stand za mwendokas zitakuwa wap
Pale maji yanapita juu bondeno pale, only requires special designsTumuulize waziri wa fedha...
Kuna mahali nilisoma kuwa hawana fedha....
Kuna kile kipande cha kigogo to msimbazi centre kwenye BRT 2 sijui kunaendelea nini..
Plan ya mwendokasi haihusu barabara hiyo, Mkandarasi alijiongeza bila plan na kuweka mfano WA barabara ya mwendokasi ila Sio plan halisi, hii barabara imejengwa bila michoro husika na Ina mapungufu mengi ya kiuhandisiHakuna vituo katikati, kwa taarifa ni kuwa bus la mwendokasi litakua linatoka njia yake linakuja kupakia kwenye vituo vya kawaida vya daladala halafu linarudi tena njia yake
Taa zanini kwani sisi huku ni madobi.Barabara ya Kimara hadi Kibaha ilijengwa kwa kasi kubwa hadi tukasema shkamoo chama tawala. Oyaoya mara lakutokea likatokea na hapo ndio ikawa mwisho wa mwanzo wenye kasi. Miaka mitatu sasa hata street lights tu za solar wameshindwa kumalizia, mwendokasi wanaisoma namba kwenye foleni na barabara yao wanaiona ila hawana namna. Matumaini yanazidi kufa kila ukifika Kimara kuelekea ubungo baada ya kukutana na foleni kali kuanzia stop over, na unabaki unashangaa kivipi barabara 3 zinakua finyu tena kuelekea mjini. Anyway wabongo akili zishaanza kukaa sawa
Hakuna vituo katikati, kwa taarifa ni kuwa bus la mwendokasi litakua linatoka njia yake linakuja kupakia kwenye vituo vya kawaida vya daladala halafu linarudi tena njia yake
Na wewe unawajua tunaowasindikiza huko usiku, achana na hayo.Ulishapita hiyo njia usiku au upo mkoa unasikia tu? Giza utasema uko porini. Na kuna vituo vingi njiani inahatarisha usalama
hata wewe umaweza kutufaa
Hata kivuko cha watembea kwa miguu (daraja) kuingia Magufuli stand hakuna taa, usiku ni tabu tupuBarabara ya Kimara hadi Kibaha ilijengwa kwa kasi kubwa hadi tukasema shkamoo chama tawala. Oyaoya mara lakutokea likatokea na hapo ndio ikawa mwisho wa mwanzo wenye kasi. Miaka mitatu sasa hata street lights tu za solar wameshindwa kumalizia, mwendokasi wanaisoma namba kwenye foleni na barabara yao wanaiona ila hawana namna. Matumaini yanazidi kufa kila ukifika Kimara kuelekea ubungo baada ya kukutana na foleni kali kuanzia stop over, na unabaki unashangaa kivipi barabara 3 zinakua finyu tena kuelekea mjini. Anyway wabongo akili zishaanza kukaa sawa