Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Watumishi wa umma wanaingia mwaka wa nne bilabila kavkav hivi hiki walichofanyiwa watumishi wa umma wangefanyiwa jw au policcm hali ingekuwa hivihivi?
funzo: mwambie mapema mwanao aliyefomu wani aachane na kazi kama za ualimu ni kazi za kipumbavu mwalimu anaweza kufokewa na diwani au mtendaji Kata lakini mtendaji Kata hawezi kumfokea jw ndio maana hata wanaogawa keki ya taifa wanaamua mwalimu anyimwe jw apewe!!
funzo: mwambie mapema mwanao aliyefomu wani aachane na kazi kama za ualimu ni kazi za kipumbavu mwalimu anaweza kufokewa na diwani au mtendaji Kata lakini mtendaji Kata hawezi kumfokea jw ndio maana hata wanaogawa keki ya taifa wanaamua mwalimu anyimwe jw apewe!!