Tetesi: Mwaka wa 4 watumishi wa umma bila nyongeza ya mshahara

Tetesi: Mwaka wa 4 watumishi wa umma bila nyongeza ya mshahara

Mambo ya kusema ualimu Ni kazi ya kipumbavu mi naona muda mwingine uwe unatumia busara ,kuliko kudharau kazi ya mtu ambayo inamuwezesha yeye kuhudumia familia yake .

Kwani wewe mtoa mada kazi yako Ni ipi?
 
Watumishi wa umma wanaingia mwaka wa nne bilabila kavkav hivi hiki walichofanyiwa watumishi wa umma wangefanyiwa jw au policcm hali ingekuwa hivihivi?

funzo: mwambie mapema mwanao aliyefomu wani aachane na kazi kama za ualimu ni kazi za kipumbavu mwalimu anaweza kufokewa na diwani au mtendaji Kata lakini mtendaji Kata hawezi kumfokea jw ndio maana hata wanaogawa keki ya taifa wanaamua mwalimu anyimwe jw apewe!!
Acha ufala kudharau Kaz za watu hyo Kaz ndio inayo mfanya mkeo atoe mzigo kwa jamaaa jiran yako

kilicho akilini kitumie
 
Tumeipenda Wenyewe Wala Hatukuandikiwa Barua Acha Ituue!!!😀😁😂😅😄
 
Back
Top Bottom