Mwaka wa majaribio magumu. Nimesave 7.8ml only UTT. Hisa za CRDB 60ml nilizonunua yajayo yanafurahisha! Mapambano makali sana

Mwaka wa majaribio magumu. Nimesave 7.8ml only UTT. Hisa za CRDB 60ml nilizonunua yajayo yanafurahisha! Mapambano makali sana

amshapopo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
1,834
Reaction score
4,161
Wakuu habari za siku nyingi,

Natumai ni wazima wa Afya Allah anazidi kutupigania.

Ni mwaka mwingine unaelekea ukingoni natumai tulijiwekea malengo na vipaumbele mbalimbali, sasa huu ndo Muda muafaka wa kufanya analysis kama yaliyomo yamo au hayamo.

Sijigambi kwa lolote or Chochote. Dunia ni yetu sote kila mtu anauwezo wa kumake ni swala la Muda tu kikubwa kutanguliza nidhamu japo Mimi hiyo nidhamu imeanza kupotea ukilinganisha na mwaka uliopita.

Mwaka huu nimefanikiwa kufanya saving ya 7.8 ml kwa vipato vyangu nivipatavyo. Jambo kubwa nililoamua kujitosa mwaka huu ni kutoa hela zangu UTT 60ml na kutupia hisa za CRDB, niliamua kufumba macho kama liwalo na liwe lakini kwa dalili yajayo yanafurahisha!

Nilijaribu betting kwa tamaa ya kupata hela ndefu, nikapigwa 2m kavukavu. Hapa nilijifunza tamaa mbaya na hakuna pesa ya rahisi

Yote kwa yote mungu mwema! Usiogope kujiwekea akiba kwani hatujui ya mbele na kazi hazina guarantee. Kama ilivyokawaida kipindi kama hichi huwa nafurahia kwa yote mungu aliyonijalia kuyafikia.

Asante
 
Wakuu habari za siku nyingi,

Natumai ni wazima wa Afya Allah anazidi kutupigania.

Ni mwaka mwingine unaelekea ukingoni natumai tulijiwekea malengo na vipaumbele mbalimbali, sasa huu ndo Muda muafaka wa kufanya analysis kama yaliyomo yamo au hayamo.

Mwaka huu nimefanikiwa kufanya saving ya 7.8 ml kwa vipato vyangu nivipatavyo. Jambo kubwa nililoamua kujitosa mwaka huu ni kutoa hela zangu UTT 60ml na kutupia hisa za CRDB, niliamua kufumba macho kama liwalo na liwe lakini kwa dalili yajayo yanafurahisha! Yote kwa yote mungu mwema! Usiogope kujiwekea akiba kwani hatujui ya mbele na kazi hazina guarantee. Kama ilivyokawaida kipindi kama hichi huwa nafurahia kwa yote mungu aliyonijalia kuyafikia.

Asante
Ha ha ha.... Ungeacha wenzio wanahangaika na uokoaji. Chai kama hizi kuna muda wake....
 
Wakuu habari za siku nyingi,

Natumai ni wazima wa Afya Allah anazidi kutupigania.

Ni mwaka mwingine unaelekea ukingoni natumai tulijiwekea malengo na vipaumbele mbalimbali, sasa huu ndo Muda muafaka wa kufanya analysis kama yaliyomo yamo au hayamo.

Mwaka huu nimefanikiwa kufanya saving ya 7.8 ml kwa vipato vyangu nivipatavyo. Jambo kubwa nililoamua kujitosa mwaka huu ni kutoa hela zangu UTT 60ml na kutupia hisa za CRDB, niliamua kufumba macho kama liwalo na liwe lakini kwa dalili yajayo yanafurahisha! Yote kwa yote mungu mwema! Usiogope kujiwekea akiba kwani hatujui ya mbele na kazi hazina guarantee. Kama ilivyokawaida kipindi kama hichi huwa nafurahia kwa yote mungu aliyonijalia kuyafikia.

Asante
Wataka nambia 60M umenunua hisa kwa mwaka mzima umepata faida ya 7.8M yaani kama mm ningefanyia biashara ningepata maradufu zaidi any way pongezi kazi iendelee.
Ha ha ha.... Ungeacha wenzio wanahangaika na uokoaji. Chai kama hizi kuna muda wake....
 
Mimi mwaka huu nimedunduliza nimefanikiwa kivuna mil 10 nje ya mtaji wangu wa kimachinga, hapa naweza savia wapi kwa kiasi hicho walau nivune laki kwa mwezi?
 
Mimi mwaka huu nimedunduliza nimefanikiwa kivuna mil 10 nje ya mtaji wangu wa kimachinga, hapa naweza savia wapi kwa kiasi hicho walau nivune laki kwa mwezi?
Mkuu ipeleke Utt mfuko wa Bond upate gawio kila mwezi
 
Asante mkuu, na mfano nikishaweka naruhusiwa kutoa tena mfano labda nikitaka kuboost mtaji wangu au imetokea nikapata uwekezaji mwingine naruhusiwa kutoa ? au hiyo imekaaje mkuu ! Nifungue
Unaweza kutoa muda wowote Milioni kumi yako mkuu.
 
Back
Top Bottom