Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
hakuwa nayo lakiniMe pia nimeona ni hela ndogo mnoo 🤔, 7m mwaka mzima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuwa nayo lakiniMe pia nimeona ni hela ndogo mnoo 🤔, 7m mwaka mzima?
Mwaka Jana ilikuwa bei hiyoHongera kaka kuna jamaa yangu alinambia alinunua hiza za CRDB za 45m mwaka jana au juzi sikumbuki ila zilikuwa Sh 450 sasa hivi ziko Sh 650 amepata ongezeko la 60% sasa hivi na 60m+ na akiwa keshakula 5m ya dividends
Mwakani kuna kila dalili zitafika 850 divident itafika 73 au 75 p.share coz quarter 3 wamepata faida zaidi ya 45% ukilinganisha na mwaka janaHongera kaka kuna jamaa yangu alinambia alinunua hiza za CRDB za 45m mwaka jana au juzi sikumbuki ila zilikuwa Sh 450 sasa hivi ziko Sh 650 amepata ongezeko la 60% sasa hivi na 60m+ na akiwa keshakula 5m ya dividends
Dah kaka unatamanisha na kutusikitisha mwakaMwakani kuna kila dalili zitafika 850 divident itafika 73 au 75 p.share coz quarter 3 wamepata faida zaidi ya 45% ukilinganisha na mwaka jana