Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Around 90 - 120k per month, Katika mifuko ya UTT naona bond ndo the best one, ikifuatiwa na LiquidMkuu nikiweka Mill 10 huko UTT napata gawio sh ngapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Around 90 - 120k per month, Katika mifuko ya UTT naona bond ndo the best one, ikifuatiwa na LiquidMkuu nikiweka Mill 10 huko UTT napata gawio sh ngapi ?
Ooh shukrani sanaAround 90 - 120k per month, Katika mifuko ya UTT naona bond ndo the best one, ikifuatiwa na Liquid
Nipo 🤣Thank my lovely, umepotelea wapi?
Mkuu umefanya vyema sana. Tumia vizuri na kwa busara hayo mafao yako ya uzeeni.Hongera kamanda!
Subiri kidogo tupo kwenye uokoaji
Watu siku hizi wengi hawapigwi kirahisi. Ontario aliwafundisha watu kuwa makini.Poa, aikulazimishi kuamini
Hongera boss.....ngoja na sisi tujaribu kufanya saving.Wakuu habari za siku nyingi,
Natumai ni wazima wa Afya Allah anazidi kutupigania.
Ni mwaka mwingine unaelekea ukingoni natumai tulijiwekea malengo na vipaumbele mbalimbali, sasa huu ndo Muda muafaka wa kufanya analysis kama yaliyomo yamo au hayamo.
Mwaka huu nimefanikiwa kufanya saving ya 7.8 ml kwa vipato vyangu nivipatavyo. Jambo kubwa nililoamua kujitosa mwaka huu ni kutoa hela zangu UTT 60ml na kutupia hisa za CRDB, niliamua kufumba macho kama liwalo na liwe lakini kwa dalili yajayo yanafurahisha!
Yote kwa yote mungu mwema! Usiogope kujiwekea akiba kwani hatujui ya mbele na kazi hazina guarantee. Kama ilivyokawaida kipindi kama hichi huwa nafurahia kwa yote mungu aliyonijalia kuyafikia.
Asante
Umejitahid wengine kusave ngumu kipato kdgo wategemez wengiMishe zimekuwa ngumu mkuu
Kuna mimi ninaeishi bila kutafuta maisha. Mungu anisaidie🤣😂Nitaongeza ila kwa kiasi kidogo si unajua ukijinyima kwa mda mrefu inabidi upumzishe mwili ili nguvu ya utafutaji iendelee kuwepo. Ukitafuta maisha usisahau kuishi
Hongera kaka kuna jamaa yangu alinambia alinunua hiza za CRDB za 45m mwaka jana au juzi sikumbuki ila zilikuwa Sh 450 sasa hivi ziko Sh 650 amepata ongezeko la 60% sasa hivi na 60m+ na akiwa keshakula 5m ya dividendsWakuu habari za siku nyingi,
Natumai ni wazima wa Afya Allah anazidi kutupigania.
Ni mwaka mwingine unaelekea ukingoni natumai tulijiwekea malengo na vipaumbele mbalimbali, sasa huu ndo Muda muafaka wa kufanya analysis kama yaliyomo yamo au hayamo.
Sijigambi kwa lolote or Chochote. Dunia ni yetu sote kila mtu anauwezo wa kumake ni swala la Muda tu kikubwa kutanguliza nidhamu japo Mimi hiyo nidhamu imeanza kupotea ukilinganisha na mwaka uliopita.
Mwaka huu nimefanikiwa kufanya saving ya 7.8 ml kwa vipato vyangu nivipatavyo. Jambo kubwa nililoamua kujitosa mwaka huu ni kutoa hela zangu UTT 60ml na kutupia hisa za CRDB, niliamua kufumba macho kama liwalo na liwe lakini kwa dalili yajayo yanafurahisha!
Nilijaribu betting kwa tamaa ya kupata hela ndefu, nikapigwa 2m kavukavu. Hapa nilijifunza tamaa mbaya na hakuna pesa ya rahisi
Yote kwa yote mungu mwema! Usiogope kujiwekea akiba kwani hatujui ya mbele na kazi hazina guarantee. Kama ilivyokawaida kipindi kama hichi huwa nafurahia kwa yote mungu aliyonijalia kuyafikia.
Asante
DuhHongera kaka kuna jamaa yangu alinambia alinunua hiza za CRDB za 45m mwaka jana au juzi sikumbuki ila zilikuwa Sh 450 sasa hivi ziko Sh 650 amepata ongezeko la 60% sasa hivi na 60m+ na akiwa keshakula 5m ya dividends