Mwaka wa majaribio magumu. Nimesave 7.8ml only UTT. Hisa za CRDB 60ml nilizonunua yajayo yanafurahisha! Mapambano makali sana

Hongera boss.....ngoja na sisi tujaribu kufanya saving.
 
Watu siku hizi wengi hawapigwi kirahisi. Ontario aliwafundisha watu kuwa makini.
Unajua vitu ulivyokoment au unarukia mtumbwi wa vibwengo. Kama hujui kitu tuliza ball Wacha watu wenye maarifa wachangie
 
Nitaongeza ila kwa kiasi kidogo si unajua ukijinyima kwa mda mrefu inabidi upumzishe mwili ili nguvu ya utafutaji iendelee kuwepo. Ukitafuta maisha usisahau kuishi
Kuna mimi ninaeishi bila kutafuta maisha. Mungu anisaidiešŸ¤£šŸ˜‚
 
Hongera kaka kuna jamaa yangu alinambia alinunua hiza za CRDB za 45m mwaka jana au juzi sikumbuki ila zilikuwa Sh 450 sasa hivi ziko Sh 650 amepata ongezeko la 60% sasa hivi na 60m+ na akiwa keshakula 5m ya dividends
 
Hongera kaka kuna jamaa yangu alinambia alinunua hiza za CRDB za 45m mwaka jana au juzi sikumbuki ila zilikuwa Sh 450 sasa hivi ziko Sh 650 amepata ongezeko la 60% sasa hivi na 60m+ na akiwa keshakula 5m ya dividends
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…