Hongera kaka kuna jamaa yangu alinambia alinunua hiza za CRDB za 45m mwaka jana au juzi sikumbuki ila zilikuwa Sh 450 sasa hivi ziko Sh 650 amepata ongezeko la 60% sasa hivi na 60m+ na akiwa keshakula 5m ya dividends
Hongera kaka kuna jamaa yangu alinambia alinunua hiza za CRDB za 45m mwaka jana au juzi sikumbuki ila zilikuwa Sh 450 sasa hivi ziko Sh 650 amepata ongezeko la 60% sasa hivi na 60m+ na akiwa keshakula 5m ya dividends