Mwaka wa pili sijawasikia watu wasiojulikana

Mwaka wa pili sijawasikia watu wasiojulikana

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.

Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena.

Kwani jamii hiyo ya watu wasiojulikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?

Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa.

Pia soma
~ Matukio ya Watu kupotea na wengine kudaiwa kutekwa, nini kinaendelea kuhusu usalama wa raia

- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
 
Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.

Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .

Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?

Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Wauaji waliokuwa wanatumwa na Jiwe
 
Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.

Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .

Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?

Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Wapo sana je nikutumie picha zao na vitambulisho vya baadhi yao ?
 
Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.

Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .

Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?

Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Hao watu walikuwa wanafanya mazoezi na kikosi kazi cha Ufipa!
 
Back
Top Bottom