Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Hao watu walikuwa wanafanya mazoezi na kikosi kazi cha ufipa!
Mada inazungumzia wasiojulikana.Mwaka wa pili sasa tangia Panya road waanze kuitawala Dar!
Nitumie dm Nina kaziWapo sana je nikutumie picha zao na vitambulisho vya baadhi yao ?
Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
17.03.2021Daah! Hiv kumbukizi ya mfadhili wao kumbe ni jana! Duuh naona hata juhudi siku hiz haziungwi tena! Au ni kwa sbb waungaji hawapo tena kama wasiojulikana?
Na wala hatujasikia kabisa zile kauli za Koti la Muungano limetubana!Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Nimegoma, nimecomment, na hakuna kitu unaweza fanya!Basi tuliza mshono
Usinilaumu mimi kwakua akili yako imeshindwa kuelewa uhusiano wa hicho nilichokiandika, na mada husika.Mada inazungumzia wasiojulikana.
HaijanishawishiKama umeamua kuwa kiziwi,huwezi kuwasikia,
Kada NCCR-Mageuzi aliyepotea aokotwa porini akiwa taabani, hajitambua
![]()
Waziri Masauni aagiza uchunguzi maiti zilizookotwa kwenye viroba
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Hamadi Masauni ameliagiza Jeshi la Polisi kuhakikisha linafanya uchunguzi wa kina ili kubaini waliohusika na mauaji ya watu wawili na kuwatupa wakiwa...www.mwananchi.co.tz
DAR: Vijana watano wamepotea katika mazingira ya kutatanisha
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limepokea taarifa za vijana watano wanaodaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha tangu mwisho wa mwaka 2021. Kamanda Jumanne Muliro amesema wamezipokea na wanazifanyia kazi kuweza kufahamu usahihi wake. ==== Dar es Salaam. Fears have...www.jamiiforums.com
![]()
Mlinzi gesti auawa na watu wasiojulikana - HabariLeo
MLINZI wa nyumba ya kulala wageni katika Kijiji cha Buseresere, Kata ya Buseresere Halmashauri ya Wilaya ya Chato…habarileo.co.tz
Maiti yaokotwa nyuma ya ofisi za TAKUKURU Temeke
Maiti ya Mwanaume ambaye hakufahamika jina lake imeokotwa asubuhi ya kuamkia leo karibu na ofisi za Taasisi ya kupambana na Rushwa ya Wilaya ya Temeke, Taifa Road. Taarifa za wenyeji wa eneo hilo zinasema kwamba hadi jana jioni hakukuwa na mtu yeyote kwenye eneo hilo na wahisi mtu huyo...www.jamiiforums.com
Ukining'iniza pua yako kwenye mambo ya watu haijalishi ni awamu ipi utapotea tu na hii ni Dunia nzima
Kwa sababu jiwe alikubutua akakuacha bila urithiHaijanishawishi