Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,987
- 1,757
Kwa kweli kisiwa kimerejea! Tangu head prefect wa kina izirail avunwe17.03.2021
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli kisiwa kimerejea! Tangu head prefect wa kina izirail avunwe17.03.2021
Kwa sababu sheria zinawalinda hawawezi kushitakiwa hivyo hiyo inawapa kiburi.Rais gani aliyepita hajawahi kuua?na kwanini wanaua?
Swali la kipumbavu kabisa, Ben Saanane na Azory Gwanda wako wapi? Lissu kama si kudra za Mungu angekuwa hai?Alimuua Nani?
Kwa hiyo wewe kanithi wa akili unataka kuniambia serikali zote kabla ya JPM tukimtoa nyerere zilikuwa azikusanyi kodi ? Acha kutumia matako kufikiri ...niambie kwanini kabla ya jpm kipindu pindu kilikuwa kinatokea kila mwaka hapa dar na nchini ila baada ya jpm kuwa rais kikakoma au kwa hiyo akili yako ya kikanithi unataka kuniambia sababu ni kwamba serikali ya huko nyuma zilikuwa azichukui kodi kwa wananchi .....je kwa sasa serikali ya samia aichukui kodi ? Mbona tozo kila sehemu na hakuna chochote kimefanyika ...nitajie hata kilometa moja tu ya barabara aliyo jenga na kukamilika hapa dar toka kuwa raisNdege zinanunuliwa kwa kodi za wananchi wala usijidanganye kuwa Jiwe alinunua ndege.
Tuliza akili yako ndugu yangu maana matusi hayata kusaidia kukuingizia mkate wako wa kila siku .Kwa hiyo wewe kanithi wa akili unataka kuniambia serikali zote kabla ya JPM tukimtoa nyerere zilikuwa azikusanyi kodi ? Acha kutumia matako kufikiri ...niambie kwanini kabla ya jpm kipindu pindu kilikuwa kinatokea kila mwaka hapa dar na nchini ila baada ya jpm kuwa rais kikakoma au kwa hiyo akili yako ya kikanithi unataka kuniambia sababu ni kwamba serikali ya huko nyuma zilikuwa azichukui kodi kwa wananchi .....je kwa sasa serikali ya samia aichukui kodi ? Mbona tozo kila sehemu na hakuna chochote kimefanyika ...nitajie hata kilometa moja tu ya barabara aliyo jenga na kukamilika hapa dar toka kuwa rais
Tatizo umejawa na machukizo kisa umasikini wako wa akili na kama vipi kachimbe shimo uingie humoKwa hiyo wewe kanithi wa akili unataka kuniambia serikali zote kabla ya JPM tukimtoa nyerere zilikuwa azikusanyi kodi ? Acha kutumia matako kufikiri ...niambie kwanini kabla ya jpm kipindu pindu kilikuwa kinatokea kila mwaka hapa dar na nchini ila baada ya jpm kuwa rais kikakoma au kwa hiyo akili yako ya kikanithi unataka kuniambia sababu ni kwamba serikali ya huko nyuma zilikuwa azichukui kodi kwa wananchi .....je kwa sasa serikali ya samia aichukui kodi ? Mbona tozo kila sehemu na hakuna chochote kimefanyika ...nitajie hata kilometa moja tu ya barabara aliyo jenga na kukamilika hapa dar toka kuwa rais
Hapana mkuu kiujumla nilitaka tujue sababu za kuuliwa kwao, ila ndio hivyo wanaouwa hawajulikani na wanaouliwa hawajulikani inafanya kushindwa kujua sababu hasa ya kuuliwa kwao.Aisee ulitaka waliokwenye virobo wajitaje mimi fulani nipo kwenye kiroba!! Maajabu haya!!
Wakati wa mungu, ni wakati sahihiMwenyezi Mungu aliamua kuingilia kati kwa kumfyekelea mbali mfadhili wao
Kanithi jibu hoja scha kutingisha mstsko hapa hskuna bashaTatizo umejawa na machukizo kisa umasikini wako wa akili na kama vipi kachimbe shimo uingie humo
Jiwe alikuwa na kundi la kiharifu la kuibaKwa hiyo wewe kanithi wa akili unataka kuniambia serikali zote kabla ya JPM tukimtoa nyerere zilikuwa azikusanyi kodi ? Acha kutumia matako kufikiri ...niambie kwanini kabla ya jpm kipindu pindu kilikuwa kinatokea kila mwaka hapa dar na nchini ila baada ya jpm kuwa rais kikakoma au kwa hiyo akili yako ya kikanithi unataka kuniambia sababu ni kwamba serikali ya huko nyuma zilikuwa azichukui kodi kwa wananchi .....je kwa sasa serikali ya samia aichukui kodi ? Mbona tozo kila sehemu na hakuna chochote kimefanyika ...nitajie hata kilometa moja tu ya barabara aliyo jenga na kukamilika hapa dar toka kuwa rais
Polisiccm uchunguzi wawo ukasemage ? au uchunguzi ulikuwa kama Mh Lissu hadi Sir God akamua kumung'owa laivi mbaya wake Jiwe?Basi sio tatizo lako Ila nakumbuka kuna muandishi alipigwa Bomu,kuna daktari mmoja alingolewa Meno Acha chuki.
Hili tatizo la wasiojulikana lilikomeshwa na Mungu mwenyewe baada ya kilio cha muda mrefu cha watanzaniaHakika kumetulia sana.
Huwezi kusikia kwa sababu unafikiri kila wakati watu ni wanasiasa tu...kuna wazazi kila mara wanafuatilia vijana walichukuliwa na watu ambao hawajajulikana mpaka leo hawajulikani wako wapi
Ukuta Tanzania nzimaIpi labda kwa mfano