SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
I don't give a flying flamingo!Kitu naweza fanya ni kukudharau tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I don't give a flying flamingo!Kitu naweza fanya ni kukudharau tu
Ni Jiwe vilevile, prove me wrong. Hata Lissu angekufa kwenye lile shambulio mlishapanga kumbambikia mtu, luckily hakufa na anatoa ushuhuda kuanzia alivyokuwa akifuatiliwa mpaka kushambuliwa na 'kigugumizi' cha serikali kufanya upelelezi au kuomba msaada kwa vyombo vya nje vilivyobobea katika mambo ya upelelezi.Kwa Chacha Wangwe
Ulimsikia Waziri Mkuu akimwambia Afisa misitu mbadhirifu kwamba "ULIPO TUPO".....This time around ndio mantiki halisi ya wasiojulikana,manake huwasikii wala kuwaona...but ULIPO WAPO lakini hutokaa uwajue wala kuwasikia.Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Aisee Asante sana mkuu kwa kunijuzaUlimsikia Waziri Mkuu akimwambia Afisa misitu mbadhirifu kwamba "ULIPO TUPO".....This time around ndio mantiki halisi ya wasiojulikana,manake huwasikii wala kuwaona...but ULIPO WAPO lakini hutokaa uwajue wala kuwasikia.
Alikukomesha sana!..Wewe ndiye uliyeachwa bila urithi maana familia ya Jiwe haikujui alikutumia tu kukidhi haja zake
Wafuasi wa jiwe na sukuma lazima mteseke
Mimi sina lolote Sawa.
Jiwe limekupata,cheti feki wewe!Mimi sina lolote Sawa.
Wewe una nini zaidi ya kukesha makaburuni unaomba na kusujudi mizimu?
Sponsor wao yupo jehanam anapokea ujira wakeHao watu walikuwa wanafanya mazoezi na kikosi kazi cha Ufipa!
1. Idi AminWatanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Uchawa utawatokea puani.Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .