Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipara cha tako mtoto wa marehemu Jiwe aka baki na mavi yako nyumbaniHao watu walikuwa wanafanya mazoezi na kikosi kazi cha Ufipa!
Polisi ya chama chako ilifanya uchunguzi na ikatoa report Chacha kifo chake kilisababisha na ajali unless huwamini mapoliccm kama mimiKwa Chacha Wangwe
Wewe mtu usiyejielewa niambie utawala WA awamu ya nne au tatu watu hawakuuawa?1. Idi Amin
2. Abacha
3. Mobuto
4.Tylor
5.Gaddafi
6.Kamuzu
7.Bokassa
8. Pombe
9. n.k
Hiyi list inanuka damu
NdiyoWewe mtu usiyejielewa niambie utawala WA awamu ya nne au tatu watu hawakuuawa?
Aisee ulitaka waliokwenye virobo wajitaje mimi fulani nipo kwenye kiroba!! Maajabu haya!!Tatizo hata hao waliyokuwa wahanga nao walikuwa ni wahanga wasiojulikana, unasikia maiti kwenye viroba hujui waliyo kwenye hivyo viroba ni akina nani.
Basi sio tatizo lako Ila nakumbuka kuna muandishi alipigwa Bomu,kuna daktari mmoja alingolewa Meno Acha chuki.Ndiyo
Tunashukuru Rais Samia amewafubaza nguvu ila wapo.Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya Jiwe kuua, kupora, kutesa, kuteka na kudhulimu watu?Wewe mtu usiyejielewa niambie utawala WA awamu ya nne au tatu watu hawakuuawa?
Mwaka wa tatu sasa sijasikia samia kanunua hata ndege ya pangaboi wala sijaona hata barabara moja mpya iliyojengwa dar hata kilometa 1Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Alimuua Nani?Hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya Jiwe kuua, kupora, kutesa, kuteka na kudhulimu watu?
Hao wengine unaweza kuwaanzishia threads na tutachangia pia.
Kwanini Jiwe alikuwa muuaji kiasi kile?
Rais gani aliyepita hajawahi kuua?na kwanini wanaua?Hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya Jiwe kuua, kupora, kutesa, kuteka na kudhulimu watu?
Hao wengine unaweza kuwaanzishia threads na tutachangia pia.
Kwanini Jiwe alikuwa muuaji kiasi kile?