Wauaji waliokuwa wanatumwa na JiweWatanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Lipo jiwe fulani lilipenda sana kulala kwenye mawe, ndiyo lilikuwa linaongoza wasiojulikanaNani huyo tena ?
Wapo sana je nikutumie picha zao na vitambulisho vya baadhi yao ?Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .
Sijataka, ndio maana nimecomment hapa!Panya road ukitaka fungulia uzi wako wewe MTU ASIYE JULIKANA
Kwa Chacha WangweWauaji waliokuwa wanatumwa na Jiwe
Wanadai wasiojulikana ndo wamepewa nchi, hawana tena sababu ya kuasi!Nani huyo tena ?
Hao watu walikuwa wanafanya mazoezi na kikosi kazi cha Ufipa!Watanzania wenzangu haya ni maajabu na kweli maana naona kama nipo ndotoni.
Zinakaribia siku kama 700 hivi lile neno WASIYOJULIKANA nimelisahau kabisa maana halisikiki tena .
Kwani jamii hiyo ya watu wasiyo julikana walikuwa wanatokea kwenye taifa gani hapa barani Afrika?
Naomba mwenye uelewa wa wapi lilipotoka hilo kundi na wapi lilipo kwa sasa .