Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawemechi mbili umefungua thread hatar!!!! ligi zimechezwa mechi nne kapoteza moja vipi liverpool na aseno?
Mapema yote hii unaanza kwa kuandika ujinga kama huu?na itaendelea kuchezea kichapo..YANGA ni nzuri kuliko MU
Mbona unalialiaaaaaaaaaa??????!!!!!!!mechi mbili umefungua thread hatar!!!! ligi zimechezwa mechi nne kapoteza moja vipi liverpool na aseno?
Kwa Kweli nimeona jinsi man city na feyenood walivyo wapiga mawe mna matunda matamu mno Liver tunasubiri kulenga na sisiMti wenye matunda ndio hupigwa mawe
Pole mkuu , maisha yana tabia mbaya sana .mechi mbili umefungua thread hatar!!!! ligi zimechezwa mechi nne kapoteza moja vipi liverpool na aseno?