Mwaka wa Tabu waanza Manchester United , Yatandikwa EUROPA LEAGUE .

Tunarudia kusisitiza kwamba hali si nzuri .
 
Uzuri wa mashabiki na uongozi wa Manchester United wana uvumilivu wa kutosha kwa walimu wao sio kama kwa Chelsea Mourinho angeanza kupigwa presha presha mpk angeondoka.
 
Sasa bingwa akipatikana kwa kufungwa mechi nne unadhani Man United wanaweza kua mabingwa wa EPL?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…