DOKEZO Mwaka wa tatu huu tokea niajiriwe sijawahi kulipwa hela yangu ya kujikumu

DOKEZO Mwaka wa tatu huu tokea niajiriwe sijawahi kulipwa hela yangu ya kujikumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mbona tunasikia huko kwenye Almashauri kuna mchwa balaa. Mpaka Leo hujapiga deal lolote kufidia Hela yako tu, acha kumchikonoa bosi. Tumia akili urudishe Hela yako kimyakimya maisha yaendeleee.

Regards
 
Mtumishi wewe ... are you verted? hii sio sehemu sahihi kuleta malalamiko yako. Unajiharibia. Futa uzi wako tafuta njia sahihi ya kuwasilisha malalamiko haya.
 
Mbona tunasikia huko kwenye Almashauri kuna mchwa balaa. Mpaka Leo hujapiga deal lolote kufidia Hela yako tu, acha kumchikonoa bosi. Tumia akili urudishe Hela yako kimyakimya maisha yaendeleee.
 
Back
Top Bottom