Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Kakupa talaka wapi jamani hawezi kukupa talaka
Jana kanipa talaka, ulikuwa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana kanipa talaka, ulikuwa wapi?
Sakayo nilimkuta na ex wangu, tangu hapo nikawanyooshea mikono nyie watu.Huyu mkweo kwa sakayo auntie ndio mana huwa tunasema tumerithi tabia yako ya kuwa na wabebez wengi
@shunie unamdalalia uncle wako!!!
Kaache katakula makwenzi soon.
We mtoto mie sina mume, kaone!!!!Huyo ndio mumewe anko ukuje @MO11
Yaani shunie umekuwa enemy of progress kwangu kila ninapotia miguu unaharibu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu mkweo kwa sakayo auntie ndio mana huwa tunasema tumerithi tabia yako ya kuwa na wabebez wengi
Hongera sana mkuuMimi ndio sijawahi kutongoza yeyote humu jf wallah....[emoji12] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha kwahiyo auntie tunaliwa kuku na vifaranga kweli vya kurithi vinazidiSakayo nilimkuta na ex wangu, tangu hapo nikawanyooshea mikono nyie watu.
Ila auntie mie sina mbebe mwingine, labd atokee huyu tu.
Mke wa mtu na mimi ni rafiki yangu sasaKhaaa wewe huyo unanifukuza huyo ni mke wa mtu
Mkwe wangu ninaemtambua ni T pekee.Mkweo huyo auntie
We mtoto mie sina mume, kaone!!!!
Yaani shunie umekuwa enemy of progress kwangu kila ninapotia miguu unaharibu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Katakuwa kanakutaka haka katoto.Yaani shunie umekuwa enemy of progress kwangu kila ninapotia miguu unaharibu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sakayo alishaolewa yupo honeymoon alafu unanisingiziaWw niangalie tu sikubali kuona unachafua ukoo wetu
Hapana auntie, dunia msongamano tunafumba macho tu.Hahhaha kwahiyo auntie tunaliwa kuku na vifaranga kweli vya kurithi vinazidi
Mkwe wangu ninaemtambua ni T pekee.
Asikutishe rafiki yangu.
Hivi kweli humu kuna watu wanatongozana na kutafunana na hizi IDs feki?!!!Ndio hivyo nina mwaka wa 5 sasa JF am going to be legend ,nakumbuza enzi naanza kuingia JF nilikua na energy ,misuli etc kila Avatar inayovutia ikigonga gonga like,kuni comment au ku quote nilikua natambaa nayo sambamba [emoji23][emoji23] ,lakini haimaanishi kama nilikua nawapata hapana..ili mradi tu nikidhi ile haja ya kiume tabia kama ya kuku kijogoo..lazima aonekane anafukuza mitetea" .
Sometimes unakutana na washikaji wako wa "chama" unampa stories kumbe na yeye alishapita nae au mtu wa karibu yake hii inaitwa networking
Ama kweli enzi zinabadilika nakumbuka kuna ma brothermen wao style zao ili waonekane active na smart walikua wanatunga sana mashairi na kuanzisha stories sijui wako wapi siku hizi [emoji23], najua mnajijua ..
No offence
Good day Tchao