Mwaka wa tatu sasa sijatongoza wadada wa MMU

Huyu mkweo kwa sakayo auntie ndio mana huwa tunasema tumerithi tabia yako ya kuwa na wabebez wengi
Sakayo nilimkuta na ex wangu, tangu hapo nikawanyooshea mikono nyie watu.

Ila auntie mie sina mbebe mwingine, labd atokee huyu tu.
 
Sakayo nilimkuta na ex wangu, tangu hapo nikawanyooshea mikono nyie watu.

Ila auntie mie sina mbebe mwingine, labd atokee huyu tu.
Hahhaha kwahiyo auntie tunaliwa kuku na vifaranga kweli vya kurithi vinazidi
 
Hivi kweli humu kuna watu wanatongozana na kutafunana na hizi IDs feki?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…