Mwakalebela: Simba ingefungwa na Zalan fc

Mwakalebela: Simba ingefungwa na Zalan fc

Salaaam Wana JF

Kutoka kwa kiongozi mmoja m,bobezi wa soka mwakalebela akiojiwa na media fulani amekiri kuwa Kama Simba ( kolo) ingecheza na Zalan Basi wangeambulia kichapo heavyweight

Sababu mechi za yanga zinaamuliwa na quality players ambao ndugu zetu simba hawana ......wanawachezaji wa kuunga unga Kama kina BOCCO, kibu, mzunguuuuuu etc.


Je unadhani kiongozi huyu yupo sahihi.....kwenu studio??View attachment 2360261
Yaan ww na 89kg wote MAPIMBI
 
Achana nalo jinga hilo, Simba ndio wenye timu mbovu huenda wasiingie makundi.
Let people mark these words.
Soka la Simba bado halijanishawishi pia kuwa kuna heri huko hatua inayofuata. Labda kwa kocha wa sasa Juma Mgunda ninaiman nae kidogo hasa kama hawatamzingua na akafanya kazi yake kwa uhuru na moyo wa dhati. Hata mdhungu leo angalau dakika chache alizocheza nimeona kumbe hakuwa na kocha mzuri tu, nusura apeleke maangamizi uaduini.
 
Let people mark these words.
Soka la Simba bado halijanishawishi pia kuwa kuna heri huko hatua inayofuata. Labda kwa kocha wa sasa Juma Mgunda ninaiman nae kidogo hasa kama hawatamzingua na akafanya kazi yake kwa uhuru na moyo wa dhati. Hata mdhungu leo angalau dakika chache alizocheza nimeona kumbe hakuwa na kocha mzuri tu, nusura apeleke maangamizi uaduini.
Time will tell
 
Salaaam Wana JF

Kutoka kwa kiongozi mmoja m,bobezi wa soka mwakalebela akiojiwa na media fulani amekiri kuwa Kama Simba ( kolo) ingecheza na Zalan Basi wangeambulia kichapo heavyweight

Sababu mechi za yanga zinaamuliwa na quality players ambao ndugu zetu simba hawana ......wanawachezaji wa kuunga unga Kama kina BOCCO, kibu, mzunguuuuuu etc.


Je unadhani kiongozi huyu yupo sahihi.....kwenu studio??View attachment 2360261
Huyu mpuuzi akishafakamia mataputapu domo lake linaharisha tu kama kama la zeruzeru
JamiiForums-789749872.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Yanga tunavunja rekodi zote za Simba CAF!

Mayele ni mchezaji pekee wa Afrika ambae anaogopwa na mashabiki wa timu pinzani , anaogopwa sana na Mzee Onyango, Braza Inonga na hata mashabiki wa Yanga yake mwenyewe. Kijana huyu amevunja rekodi zote Afrika na duniani kwa kupiga hat-trick mbili mfululizo kwenye michuano mikubwa ya kimataifa.
Mchezaji wa mwisho kupiga hat trick kama hizo kwenye mashindano ya CAF ni Vasco da Gama akitumia assist za David Livingstone na Barabara mnamo mwaka 1498 huko Afrika kusini! Takriban miaka elfu 20 iliyopita!

Yanga mbele kwa mbele hadi tubebe ndoo ya CAF na kunyamazisha kabisa ngebe za Makolo FC!

Yanga tamu asikwambie mtu na inakera haswa kwasasa! possession 90% kwa 10%.

Lete wajinga wote tunakata na kufunua tu hakuna huruma! Lete Makolo, lete PSG , Lete Man City, lete Mandonga, lete Kiduku, lete Makinyo , lete Brazil si tunaua tu. Tumeanza kuzoea fataki za kubeba makombe!

Nani kama Prof Nabi aka Ferguson!!

Simba kitu pekee walichobaki nacho kwasasa ni MATUSI tu mpira umeenda kwao Brazil!
Mwaka 1998 Yanga alifungwa 6 kwa buyu na Raja ya Morocco! Hii rekodi bado kuvunjwa.
 
Back
Top Bottom