TANZIA Mwakata, Shinyanga: Ajali ya magari matatu 'Lori, IST, Hiace' na Trekta yadaiwa Watu 20 wamefariki, 15 wajeruhiwa (Agosti 8, 2022)

Pole kwa wafiwa na Mungu awasaidie waliojeruhiwa.
 
 
Ila tusisingizie uchawi,huo uzembe umeanzia kwa dereva wa ist imekutwa k-vant kwenye gari pamoja na operator wa tractor nae anamakosa,huyo wa hice ndio kichaa wakutupwa kabisa.Huyu bila shaka alitumia kilevi pia.ALL IN ALL MAY THEIR SOULS REST IN PEACE
 
Pombe sio nzuri wakati waku drive, imewachukua wengi
 
Kama nawaona wabrashi viatu wakishukuru maombi yao kujibiwa. Wangependa ajali kubwa kubwa kumthibitisha Kinana wrong.

Kazi kweli kweli.
Na watarudi barabarani kwa fujo sana safari hiii!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…