Ndio kilichotokea? Itakuwa kaletewa mkali sana kaona ntadedi bureKabadilshiwa bondia jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kilichotokea? Itakuwa kaletewa mkali sana kaona ntadedi bureKabadilshiwa bondia jamaa
nasikia walompa sasahv ashawah kumpga TKONdio kilichotokea? Itakuwa kaletewa mkali sana kaona ntadedi bure
Huyu anaenda kupotea mazima, kwani si wangeongea ndani? Mpaka huku?
Sio kweli, huyo aliyeletewa ni mnamibia na alishawahi mpiga!! Tatizo ni promota, kwenye maokotoNdio kilichotokea? Itakuwa kaletewa mkali sana kaona ntadedi bure
Ngumi za kulipwa sio kazi ya bodaboda kwamba wacha niende tutaelewana baadae, wacha niende ni karibu pale mbona huwa nampeleka mbali ananilipa, kule mjini nitapata mteja wa kurudi nae.Huyu anaenda kupotea mazima, kwani si wangeongea ndani? Mpaka huku?
Ok! Yule mnamibia namkumbuka, kama umri umeenda hivi ukilinganisha na kazi anayoifanyaSio kweli, huyo aliyeletewa ni mnamibia na alishawahi mpiga!! Tatizo ni promota, kwenye maokoto
Promoter anataka kupita na maokoto yote alafu jamaa akapigane km anapigana kichangani wakati ni professional international boxerShida nini, bado hajaweka hadharani hiyo changamoto.
Promoter anataka atembee na maokoto yote jamaa abakie mkavuHaya mambo ya mapromota kuweka ubabaishaji yataisha lini?
shida ya huyu dogo ni kiburi na kujiona amefika na mambo ya pwani. angekuwa mdada huyu angekuwa anaimba taarabu.Bondia Hassan Mwakinyo amesema kesho hatapanda Ulingoni kupigana dhidi ya Bondia Julius Indonga kwenye pambano la kuwania mkanda wa IBA International. Amesema hatapigana kutogana na Uwongo na Udanganyifu wa Ma Promota.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa "Binafsi!! Napenda sana Kushukuru M/mungu kwa uzima na Afya nilio nayo Leo” pia niwashukuru sana washabiki zangu kwa kujitokeza kwa Nguvu kuonyesha shauku ya kuni support nawashukuru sana AZAM TV kwa kuendelea kutoa nafasi!! Kwetu kama wachezaji wa ndani naomba niweke hisia zangu wazi kwa mashabiki ya kuwa kesho sitaweza kupanda ulingoni kutokana na uwongo na udanganyifu, wa ma promota binafsi sina tatizo na Mtu ila pia naheshimu sana kazi yangu na siko tayari kuona watu wana nijaribu au kutaka kuarbu jina langu Azam nia na dhamira yenu ni njema sana kwenye mchezo wa ngumi na kwa nidhamu ya juu kabisa maamuzi ya hili kuendelea yako mikononi kwenu hapa tulipofkia nyinyi binafsi ndio mnaweza kutatua hii changamoto na Muda ni Leo tu …
but he is not that good, anahitaji bado kujijenga hata kwa kula hasara kidogo. anaona kama ameshafika kileleni.Kama wanamichezo wangekua wanajielewa kama hyu jamaa ...tasnia na professional mbalimbali zingekua mbali Sana...
Nice work brother ...simamia maslahi yako na usikubali kupelekwa Kama mzigo ...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama jina tayari kashalipata hapo ni anazingatia maokoto tubut he is not that good, anahitaji bado kujijenga hata kwa kula hasara kidogo. anaona kama ameshafika kileleni.
Mkali wapi wakati aliyeletewa alishampiga kwa KO?Ndio kilichotokea? Itakuwa kaletewa mkali sana kaona ntadedi bure