Mwakinyo anataka apewe milioni 500 ili apambane na Kiduku

Mwakinyo anataka apewe milioni 500 ili apambane na Kiduku

Twaha hamuwezi mwakinyo sema watanzania wengi ni bendera fuata upepo tatizo la twaha watu wanaangalia ule mwili wanaona ndio utamsumbua mwakinyo ila kwa wajuzi wa ngumi hamna kitu pale.
 
Ki ukweli halisia.....Kinyo atakandwa na mtoto Moro kiduku sababu halina mkanda....kinyo anataka pesa ndefu ili hata akipigwa...ajue ana nusu bil....
 
Wewe ni slow learner nataka nakusaidie, niambie nini ujaelewa nikueleweshe?
Heading Mwakinyo anachukua 500M
Content; ameweka dau lake ni ambalo ni 500M

Dunia ya leo ya kasi umeshindwa nini kuelewesha na kutoa ambiguity..., kuchukua inaweza kumaanisha deal / negotiation is done bado tu kupambana..... Kumbe kilichopo ni Ametoa Dau lake la Kufanikisha Mpambano
 
Heading Mwakinyo anachukua 500M
Content; ameweka dau lake ni ambalo ni 500M

Dunia ya leo ya kasi umeshindwa nini kuelewesha na kutoa ambiguity..., kuchukua inaweza kumaanisha deal / negotiation is done bado tu kupambana..... Kumbe kilichopo ni Ametoa Dau lake la Kufanikisha Mpambano
Ilo ni dau lake haendi chini zaidi ya hapo. Million 500 Kiduku nae kataka mil 300.
Anachukua sababu pambano lazima liwepo na hela muda wowote inapatikana ni suala la muda tu. Hapo umeelewa?
 
Baada ya watanzania kuonesha shauku ya kumuona bondia namba moja Africa, Hassan Mwankinyo akipanda ulingoni na local boxer Twaha Kiduku.

Mwakinyo ametoa bei yake ya kupanda ulingoni sh million 500 za kitanzania na hana maelekezo mapya.

Waliomfata kulialia kawarudisha na mil 200 zao.

Champez kaweka standard anayetaka kumuona kwenye ring na aweke hela.period
Yes
Viwango muhimu sana
 
Baada ya watanzania kuonesha shauku ya kumuona bondia namba moja Africa, Hassan Mwankinyo akipanda ulingoni na local boxer Twaha Kiduku.

Mwakinyo ametoa bei yake ya kupanda ulingoni sh million 500 za kitanzania na hana maelekezo mapya.

Waliomfata kulialia kawarudisha na mil 200 zao.

Champez kaweka standard anayetaka kumuona kwenye ring na aweke hela.period
Umetoka kwa Diamond sasa unakuwa chawa wa Mwakinyo. Yaani kwa ngumi na fight ipi ambayo anayo mwakinyo apewe Mil 500? Hiyo 200 nani kampa akakataa? Kuna promote wa kumpa Mwakinyo 200M Tanzania hii? Atairudhishaje hiyo pesa yake na apate faida juu? Mtaje kama yupo tumjue. We si ndio ulisema yule kijana anayetembea huku anapepesuka na mnayemvalisha majuba na Madera pale Usafini alinunulowa Cheni ya Milioni 150?

Acha uchawa na fix dogo. Utakuja olewa wewe.
 
Mdigo anajikuta Anthony Joshua. Kaenda duga kuangalia ramli kaona atachezea za uso anaweka vikwazo vya bei.
 
Ilo ni dau lake haendi chini zaidi ya hapo. Million 500 Kiduku nae kataka mil 300.
Anachukua sababu pambano lazima liwepo na hela muda wowote inapatikana ni suala la muda tu. Hapo umeelewa?
Kwahio isingewezekana Heading kuakisi haya maelezo uliyosema hapa ? Point yangu ni kwamba heading ina ambiguity ya bila sababu..., Hili ni janga la kidunia kwa sasa Click Baits zinapelekea watu kupoteza muda au wengine wasoma heading kuondoka na Habari zisizo na ukweli hence ku-spread fake news

Hii sio kwa faida yangu ni kwa faida ya Muda wa Wasomaji.... It is vain to do with more what can be done with fewer. - William of Occam
 
Umelipa kiingilio chako Safi,
Afu round ya kwanza mbuzi inasingizia kiatu [emoji29]
 
Umetoka kwa Diamond sasa unakuwa chawa wa Mwakinyo. Yaani kwa ngumi na fight ipi ambayo anayo mwakinyo apewe Mil 500? Hiyo 200 nani kampa akakataa? Kuna promote wa kumpa Mwakinyo 200M Tanzania hii? Atairudhishaje hiyo pesa yake na apate faida juu? Mtaje kama yupo tumjue. We si ndio ulisema yule kijana anayetembea huku anapepesuka na mnayemvalisha majuba na Madera pale Usafini alinunulowa Cheni ya Milioni 150?

Acha uchawa na fix dogo. Utakuja olewa wewe.
Hapa kilichokupa maumivu ni kusikia kuna kijana anaenda kupata mil 500 nothing else.

Roho mbaya na chuki ni ugonjwa chronic kwa vijana wengi wa kiswahil kama wewe kiande
 
Back
Top Bottom