Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Bondia Hassan Mwakinyo na Jose Carlos Paz wa Argentina Next door arena leo
Mataifa sita, mapambano manne, ulingo mmoja
Bondia Jose Carlos Paz ana rekodi ya kupanda ulingoni mara 35, ameshinda mara 23 ambazo 13 zikiwa ni Kos, amepoteza mara 11, mara 6 kwa Kos na amesuluhu moja
Mwakinyo ni mtanzania ana rekodi ya kupanda ulingoni mara 19 ameshinda mara 17, kati yake 11 alishinda kwa KO pia alipoteza mapambano mawili
Mapambano
1. Zulfa Yusufu Macho(TZ) Vs Alice Mbewe (ZAMBIA)
Rounds: 06
Wieigh: Super Fly weather weight
Winner: Zulfa Macho kwa points
2. HUssein Itaba (TZ) Vs Alexander Kabangu (DRC)
Rounds: 10
Weight: Super Middle Weight
Winner: Alexander Kabangu(Mkongo) maamuzi yalibadilishwa na kusema kuwa ni suluhu
3. Fatuma Zarika (Kenya) Vs Pantiance Mastara(Zimbabwe) Mastara anapigana Southpole Stance
Rounds: 10
Weight: Super Bantam Weight
Winner: Fatuma Zarika
4. Hassan Mwakinyo(TZ) Vs Jose Paz(Argentina)
Rounds: 12
Uzito: Intercontinental Super-welterweight
Winner: MWAKINYO (TKO)
MAJAJI WACHANGANYANA UAMUZI WA PAMBANO LA MKONGO NA MTANZANIA
-
Mapambano ya Utangulizi la uzito wa kati la round kumi kati ya mtanzania Hussein Itaba na Alexander Kabangu wa DR-Kongo limeonyesha walakini
Baada ya kuisha pambano hilo, Kabangu alitangazwa kuwa mshindi kwa points. Itaba alikataa kushuka ulingoni
Maamuzi yakabadilisha na pambano hilo liliamuliwa kuwa suluhu
Hili lilikuwa pambano la utangulizi kuelekea pambano kuu la Hassan Mwakinyo na Jose Paz
Mataifa sita, mapambano manne, ulingo mmoja
Bondia Jose Carlos Paz ana rekodi ya kupanda ulingoni mara 35, ameshinda mara 23 ambazo 13 zikiwa ni Kos, amepoteza mara 11, mara 6 kwa Kos na amesuluhu moja
Mwakinyo ni mtanzania ana rekodi ya kupanda ulingoni mara 19 ameshinda mara 17, kati yake 11 alishinda kwa KO pia alipoteza mapambano mawili
Mapambano
1. Zulfa Yusufu Macho(TZ) Vs Alice Mbewe (ZAMBIA)
Rounds: 06
Wieigh: Super Fly weather weight
Winner: Zulfa Macho kwa points
2. HUssein Itaba (TZ) Vs Alexander Kabangu (DRC)
Rounds: 10
Weight: Super Middle Weight
Winner: Alexander Kabangu(Mkongo) maamuzi yalibadilishwa na kusema kuwa ni suluhu
3. Fatuma Zarika (Kenya) Vs Pantiance Mastara(Zimbabwe) Mastara anapigana Southpole Stance
Rounds: 10
Weight: Super Bantam Weight
Winner: Fatuma Zarika
4. Hassan Mwakinyo(TZ) Vs Jose Paz(Argentina)
Rounds: 12
Uzito: Intercontinental Super-welterweight
Winner: MWAKINYO (TKO)
MAJAJI WACHANGANYANA UAMUZI WA PAMBANO LA MKONGO NA MTANZANIA
-
Mapambano ya Utangulizi la uzito wa kati la round kumi kati ya mtanzania Hussein Itaba na Alexander Kabangu wa DR-Kongo limeonyesha walakini
Baada ya kuisha pambano hilo, Kabangu alitangazwa kuwa mshindi kwa points. Itaba alikataa kushuka ulingoni
Maamuzi yakabadilisha na pambano hilo liliamuliwa kuwa suluhu
Hili lilikuwa pambano la utangulizi kuelekea pambano kuu la Hassan Mwakinyo na Jose Paz