Mwakinyo ashinda kwa TKO dhidi ya muargentina

Naweza kumtetea refa mpaka pale jamaa alikua anatapatapa tu ngumi haziku zinaelekea kwa mpinzani ukicheki fresh kuna moja kampiga refa... So kwa boxing kuendeleza ilikua kumuumiza zaidi
 
Anapigana na walima matikiti halafu mnatuambia Bondia Bondia gani huyu hata nikipigana nae Mimi namtandika.
 
Mabondia wazee ili wawe wanajipigia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…