Mwakinyo ashinda pambano lake dhidi ya Tinampay

Vipi kuna nini kimejiri mbona nasikia kelele kwenye mabanda ya maonesho
 
Nilijua michongo kama ya kina sanchoka ndiyo tunayobaniwa tusione, kumbe hadi ngumi watu wanabana tusione
Nadhani haki ya kurusha pambano hilo ipo kwa Azam Tv ndiyo maana YouTube mambo yameenda kombo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…