Niliona tangazo moja eti stive nyerere anasema ngumi moja ya huyo Mwakinyo ni sawa na fuso 4 za mchanga, nikasema mhhhhh!
Ukiwa upande wa ccm huwezi shindwa ni ushindi wa kishindo siku zoteNoooooooooo! BIG NO!
Mwakinyi hii gemu amepigwa.
Alitaka kufanya njama jamaa afie ulingoni ili akachangishe daftariNiliona tangazo moja eti stive nyerere anasema ngumi moja ya huyo Mwakinyo ni sawa na fuso 4 za mchanga, nikasema mhhhhh!
Tena viboko vya mgongoni vinauma balaaHahhahaha hivi mbona mnachekesha
Ndiyo mkuuKwaiyo mwakinyo ameshinda?.. Mimi sina tv
Duuuuh alikuwa anadanganya akina nani haoNiliona tangazo moja eti stive nyerere anasema ngumi moja ya huyo Mwakinyo ni sawa na fuso 4 za mchanga, nikasema mhhhhh!
Shida sio uwingi wa ngumi ila amepiga wap?Wamempa ushindi??
Huyu mwakinyo walimuoverrate sana kumbe hamna kituHuyu sio bondia wa kiwango cha juu ila amemshindwa, this means Mwakinyo is not good enough
Vitu vipo wazi kabisa vinaonekana Mwakinyo uwezo wake ni mdogo ukweli ndio huo.