Mwakinyo ashinda pambano lake dhidi ya Tinampay

Mwakinyo ashinda pambano lake dhidi ya Tinampay

Nyie mnaona kichekesho ni mwakinyo kuchezea mabomba ya maana na bado kaibuka bingwa

Kichekesho kinakuja pale ukikumbuka bondia mwakinyo alikua akiforce kudai pambano na mayweather
Hahahaaaaaa
 
Natamani sana akipata pambano lingine huko nje ya nchi avunje frontal upper & Lower teeth ajue kabisa kuwa hana kiwango cha kucheza ngumi za kulipwa...

Huyu bwana kwenye ngumi bado ni mbichi yupo uchi kabisa akikutana na wajanja anaweza fia uwanjani...
Tafuta mapambano yake youtube ndio utamuelewa vizuri, na huyu mfilipino sio wa mchezo mchezo
 
Mfilipino ameshambulia sana ila ngumi zake zilikuwa hazina point , Mwakinyo amepiga ngumi nyingi za point.

Mfilipimo ni mwepesi na anaspidi ila anarusharusha tu ngumi, Mwakinyo ni mzito ila anapiga ngumi za akili.

Mwakinyo kashinda kihalali, ila aongeze mazoezi ya wepesi.

Kwa tulioangalia pambano la Wilder juzi mtakubaliana na mimi kuwa Ortiz alitawala kuanzia raundi ya kwanza mpaka ys sita.

Ila raundi ya saba Wilder alipiga ngumi moja tu jamaa chali.
 
Mfilipino ameshambulia sana ila ngumi zake zilikuwa hazina point , Mwakinyo amepiga ngumi nyingi za point.

Mfilipimo ni mwepesi na anaspidi ila anarusharusha tu ngumi, Mwakinyo ni mzito ila anapiga ngumi za akili.

Mwakinyo kashinda kihalali, ila aongeze mazoezi ya wepesi.

Kwa tulioangalia pambano la Wilder juzi mtakubaliana na mimi kuwa Ortiz alitawala kuanzia raundi ya kwanza mpaka ys sita.

Ila raundi ya saba Wilder alipiga ngumi moja tu jamaa chali.
Jamani pambano lilichezwa hadharani tu, mkuu naomba unielekeze chuo cha boxing nikasome namm sheria kiasi maana inaonyesha macho yangu yananidanganya sana
 
Na bahati yake Mwakinyo ashukuru sana Round zilikuwa ni 10 zingekuwa Round 12 Asingefika na angepigwa KO ya kiulaini.
 
Pointi nyingi kivipi.. zinazidianaje, tuonyeshe,tujifunze
Point nyingi ni ngumi sahihi za uso ambapo mwakinyo alikua akipiga nyingi, wengi wenu mnajua akirusha hata ikitua kwenye mikono na tumbo zinahesabiwa....

Mwakinyo anapigana style ya floyd, kujikinga na kukwepa zaidi na kurusha chache zenye point nyingi...
 
Mfilipino ameshambulia sana ila ngumi zake zilikuwa hazina point , Mwakinyo amepiga ngumi nyingi za point.

Mfilipimo ni mwepesi na anaspidi ila anarusharusha tu ngumi, Mwakinyo ni mzito ila anapiga ngumi za akili.

Mwakinyo kashinda kihalali, ila aongeze mazoezi ya wepesi.

Kwa tulioangalia pambano la Wilder juzi mtakubaliana na mimi kuwa Ortiz alitawala kuanzia raundi ya kwanza mpaka ys sita.

Ila raundi ya saba Wilder alipiga ngumi moja tu jamaa chali.
Huyo wilder ni mziki mwingine..
Utarukaruka sana ila kuna ngumi yake moja tu baass, [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Zile ni kwaajili ya kumchosha mpinzani, usoni ndipo kwenye points.
Jitu kama tyson likufumue kikombe cha mbavu, utasema kakuchosha tu na stamina ya kuendelea na gemu utakua nayo??

Watu wana ngumi nzito kuliko miili yao, anaweza kukupa kaunta attack moja ya ubavu ukakuta kavunja mbavu.

Matokeo yake ukashindwa kuendelea na gemu sasa hapo si amechukua ushindi kwa kukufanya wewe ushindwe kuendelea na gemu??
 
Afu wanajinasibu wako tayari kuonyesha mapambano makubwa hapa Tz, ni aibu kwa media kubwa kama ile
Hili halipo hapa tu, karibu duniani kote huo mchezo wanaufanya sana, nimeyaona sana pia kuna siku yanga alisawazisha na al ahal mtangazaji hakusema ni bali alipiga kimya, al ahali walivyopata la ushindi alipagawa na matusi juu
 
Nilikaa na mtaalamu mmoja wa masubwi pale shamba la Bibi akasema,bondia akipigwa ngumi kadhaa bila kujibu refa anatakiwa amuokoe hata kama anania ya kuendelea
Sio sheria ni maamuzi ya refa... Rejea pambano la mwakinyo na muingereza ndio utaelewa maana refa aliacha kwa mda sana mwakinyo akamchafua mpinzani wake, sikuona ngumi nyingi za kumfanya msouth aokolewe maana hadi yeye alibaki kumshangaa refa.
 
Back
Top Bottom