Mwakinyo ashinda pambano lake dhidi ya Tinampay

Mwakinyo ashinda pambano lake dhidi ya Tinampay

Jitu kama tyson likufumue kikombe cha mbavu, utasema kakuchosha tu na stamina ya kuendelea na gemu utakua nayo??

Watu wana ngumi nzito kuliko miili yao, anaweza kukupa kaunta attack moja ya ubavu ukakuta kavunja mbavu.

Matokeo yake ukashindwa kuendelea na gemu sasa hapo si amechukua ushindi kwa kukufanya wewe ushindwe kuendelea na gemu??
Ukiona hivyo ujue alimsoma mpinzan wake kua hakua na uwezo huo, ndio maana baada ya mwakinyo kumwacha akapiga nyingi za tumbo na bado yupo imara mfilipino akawa hapigi tena tumboni mara kwa mara... Ngumi zina mambo mengi mkuu, ingia youtube uone ndio utazielewa zaidi
 
Point nyingi ni ngumi sahihi za uso ambapo mwakinyo alikua akipiga nyingi, wengi wenu mnajua akirusha hata ikitua kwenye mikono na tumbo zinahesabiwa....

Mwakinyo anapigana style ya floyd, kujikinga na kukwepa zaidi na kurusha chache zenye point nyingi...
Nope, amekula za kichwa nyingi zaidi. Tena kama raundi saba z mwanzo mwakinyo alielemewa sana, ameanza kufurukuta mwishoni. Lakini akipiga moja, mfilipino anapitisha tatu hadi nne, sio kwenye guards, KICHWANI. Hata Matumla alionyesha wasiwasi mkubwa kwa staili ile na aliashiria mwakinyo amechapwa.
 
Point nyingi ni ngumi sahihi za uso ambapo mwakinyo alikua akipiga nyingi, wengi wenu mnajua akirusha hata ikitua kwenye mikono na tumbo zinahesabiwa....

Mwakinyo anapigana style ya floyd, kujikinga na kukwepa zaidi na kurusha chache zenye point nyingi...
Unasema nini kuhusu kuanguka chini mwakinyo na mwamuzi akadao alisukumwa?
 
Nope, amekula za kichwa nyingi zaidi. Tena kama raundi saba z mwanzo mwakinyo alielemewa sana, ameanza kufurukuta mwishoni. Lakini akipiga moja, mfilipino anapitisha tatu hadi nne, sio kwenye guards, KICHWANI. Hata Matumla alionyesha wasiwasi mkubwa kwa staili ile na aliashiria mwakinyo amechapwa.
Nina mashaka na Matumla alishabikia sana style ya Twaha Kiduku hawa malejendari wetu bwana ni sawa na kumkosoa Samatta tu ilihali level hizo hawakufika.
 
Kwa mimi kuniambia mwakinyo kapigwa no, labda mseme ni sare ila mfilipino karusha ngumi nyingi lakini zilizompata barabara ni chache, mwakinyo karusha chache lkn nyingi kati ya hizo chache zimempata baraabara....
Kwa alieona pambano la myweather na parquao ataelewa hilo.. Parquao alirusha ngumi nyingi lkn hazikupata mpinzani vizuri.
Pambano la Mayweather vs Pacquiao halifanani kabisa na pambano la Mwakinyo na Tinampay


Defence ya Mawyweather ni ngumu sana kupenya kuliko ya Mwakinyo ,angalia hata highlights.
 
Ndio maana bondia kama Deontay Wilder hataki mbwembwe nyingi wewe ruka ruka weee ila ya kwake moja tu lazima ukae.
 
Nyie mnaona kichekesho ni mwakinyo kuchezea mabomba ya maana na bado kaibuka bingwa

Kichekesho kinakuja pale ukikumbuka bondia mwakinyo alikua akiforce kudai pambano na mayweather
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tena alikuwa ana undermine skills za Mayweather kisa amempiga Engigton [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu umechemka pambano la Kiduku halikuwa la kiprofeshino Twaha hana skills na refa kaharibu pia ila la Mfaume lilikuwa zuri kidogo, Mwakinyo na Tinampay lilikuwa na ubora wa hali juu.
Tinampay amerusha ngumi nyingi foul nyingi to me Mwakinyo amepiga point tu kuna vitu vichache akimprovise tutegemee makubwa kutoka kwake.
Uswazi wanasemaje?
Amepiga za point wapi wakati amecheza faulo nyingi ambazo kimsingi ilipaswa akatwe pointi.
 
Mfilipino ameshambulia sana ila ngumi zake zilikuwa hazina point , Mwakinyo amepiga ngumi nyingi za point.

Mfilipimo ni mwepesi na anaspidi ila anarusharusha tu ngumi, Mwakinyo ni mzito ila anapiga ngumi za akili.

Mwakinyo kashinda kihalali, ila aongeze mazoezi ya wepesi.

Kwa tulioangalia pambano la Wilder juzi mtakubaliana na mimi kuwa Ortiz alitawala kuanzia raundi ya kwanza mpaka ys sita.

Ila raundi ya saba Wilder alipiga ngumi moja tu jamaa chali.
Pambano la King Kong vs Bronze Bomber na pambano la Mwakinyo vs Tinampay ni vitu viwili tofauti.

Wilder angecheza 12 rounds angepoteza kwa UD maana King Kong alitawala mchezo ila Wilder hakutaka mambo mengi akamaliza mchezo kwa K.O.
 
Siasa tena. Eti Magufuli kafanya ngumi zitambulike. Wakati Mwakinyo alihangaika mwenyewe. Alivyoshinda U.K ndo kila mtu akamfahamu kupitia ile interview ya manager wake.
Ile interview ipewe tuzo meneja alitisha sana
 
Ile interview ipewe tuzo meneja alitisha sana
Hahah yule Manager(kama shombe shombe) nilimkubali sana pale.

Hata hivyo kwny mambo ya ngumi huyo Manager nimemuona kwa miaka mingi sana zaidi hata ya 10.
 
Back
Top Bottom