Mwakinyo athibitisha ubora wake. Amchapa Mjeda wa Ghana raundi ya saba

Mwakinyo athibitisha ubora wake. Amchapa Mjeda wa Ghana raundi ya saba

Nenda ukapigane nae wewe usie nunuliwa
Siwezi kupigana nae, sio class yangu.

Yeye anapigana light middle weight kilo 65-69.

Pamoja na kwamba mimi sio bondia, nina kilo 95, urefu 6'5 so siwezi kupigana nae, nitamuua. Itakua kama Big Show na Floyd Mayweather.
 
Siwezi kupigana nae, sio class yangu.

Yeye anapigana light middle weight kilo 65-69.

Pamoja na kwamba mimi sio bondia, nina kilo 95, urefu 6'5 so siwezi kupigana nae, nitamuua. Itakua kama Big Show na Floyd Mayweather.
Unamkejeli mtu ambaye hata hajui kama una exist
Huoni unateseka sana..na zaidi una matatizo ya akili unachukia na kuumizwa na mafanikio ya mtu , huo ni umaskini wa kiwango kikubwa, jitahidi kufuta umaskini kwenye maisha yako
 
Unamkejeli mtu ambaye hata hajui kama una exist
Huoni unateseka sana..na zaidi una matatizo ya akili unachukia na kuumizwa na mafanikio ya mtu , huo ni umaskini wa kiwango kikubwa, jitahidi kufuta umaskini kwenye maisha yako
Wewe binti mumeo mwakinyo hana anachonizidi, sio uzito, sio urefu, sio hela sio chochote. Hivyo sina sababu ya kumchukia.

Mtu akiwa na tabia za kiswahili nitasema, sasa wewe mkewe kama unaona kwamba kumsema mumeo ni kwamba namchukia basi kamwambie na umelete niwashikishe ukuta wote wewe na yeye.
 
Mmmm ila bado sijamuelewa Kinyo boy nataka niangalie mapambano yake hara 5 tu lile jana sijalielewaaaaa
 
Back
Top Bottom