johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bondia Maarufu nchini mh Mwakinyo amewataka Mashehe na Masharif wa Tanga kufanya jambo Ili iwe fundisho kwa wengine
Mwakinyo amesema Tanga ina wanazuoni wakubwa wanaoheshimika hivyo Kifo Cha Ally Mohamed Kibao kikatoe somo kwa Wote wanaouchezea mkoa wa Tanga
=========
Mwakinyo ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Instagram:
Ipo haja kubwa ya mashekh, masharifu, na wanazuoni wakubwa wa TANGA kwa pamoja tufanye jambo la maapizo zuri tu iwe fundisho kwa wengine. Hizo elimu zenu za kuwa mnataka kila jambo aachiwe MUNGU na silaha mnazo mnaukosea mji wetu na sio sawa. Waliofanya wafanywe kama walivyofanya itarahisisha mambo kua mengi al kisasi haki. 💪🏼
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Mwakinyo amesema Tanga ina wanazuoni wakubwa wanaoheshimika hivyo Kifo Cha Ally Mohamed Kibao kikatoe somo kwa Wote wanaouchezea mkoa wa Tanga
=========
Mwakinyo ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Instagram:
Ipo haja kubwa ya mashekh, masharifu, na wanazuoni wakubwa wa TANGA kwa pamoja tufanye jambo la maapizo zuri tu iwe fundisho kwa wengine. Hizo elimu zenu za kuwa mnataka kila jambo aachiwe MUNGU na silaha mnazo mnaukosea mji wetu na sio sawa. Waliofanya wafanywe kama walivyofanya itarahisisha mambo kua mengi al kisasi haki. 💪🏼
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana