Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hawa ndio wanaua watu sababu ya siasa...eti watu wakae kimya kwa sababu ni siasa na ID yake ya hyperkind😄😄😄Aachane na siasa, kwani kumuua mzee wa watu ni siasa? Kwamba uhai wako ni siasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndio wanaua watu sababu ya siasa...eti watu wakae kimya kwa sababu ni siasa na ID yake ya hyperkind😄😄😄Aachane na siasa, kwani kumuua mzee wa watu ni siasa? Kwamba uhai wako ni siasa?
DuaaWafanye kitu gani?
Mkuu kwa hilii haijalishi wewe ni mcheza mpira au karate .kwa kila binaadamu lazima limuumeachane na maswala yananohusisha siasa mara moja itamgharimu.
nafikiri ni wakati wa kujaribu kuzungumza nae kidogo
Nini kilitokea?2020 baada ya Uchaguzi walisoma Kule Pemba.....nilidhani masihara bwana. Ikaja ikajibu
Wafanye kitu gani?
Na ndivyo itakavyokuwa !Yes, kipigwe kitu cha uhakika - Parajuan.
aliyepangaaa, aliyeshihiriki..
Woooteeee.
Mchecheto umeanza !Hawa ndio wanaua watu sababu ya siasa...eti watu wakae kimya kwa sababu ni siasa na ID yake ya hyperkind😄😄😄
Hayo uliyoyaandika umewahi kumuandikia Nasibu Abdul,Harmonizer na Shilole?Acha ujingaujinga.achane na maswala yananohusisha siasa mara moja itamgharimu.
nafikiri ni wakati wa kujaribu kuzungumza nae kidogo
Hapo sasaHayo uliyoyaandika umewahi kumuandikia Nasibu Abdul,Harmonizer na Shilole?Acha ujingaujinga.
Mnaanza kujitokeza taratibu.achane na maswala yananohusisha siasa mara moja itamgharimu.
nafikiri ni wakati wa kujaribu kuzungumza nae kidogo
Watu kama hao huwa wanaona upande wao hawakosei.Ndiyo maana mkibishana kwa masuala ya kisiasa(maisha kiujumla na kukosoana)wanakuua.Heathenic behavior!Hapo sasa
Ni watu wa hovyo sana akina HyperkindWatu kama hao huwa wanaona upande wao hawakosei.Ndiyo maana mkibishana kwa masuala ya kisiasa(maisha kiujumla na kukosoana)wanakuua.Heathenic behavior!
Hii ni kweli CCM sahivi mmeanza kuchanganyikiwaBondia Maarufu nchini mh Mwakinyo amewataka Mashehe na Masharif wa Tanga kufanya jambo Ili iwe fundisho kwa wengine
Mwakinyo amesema Tanga ina wanazuoni wakubwa wanaoheshimika hivyo Kifo Cha Ally Mohamed Kibao kikatoe somo kwa Wote wanaouchezea mkoa wa Tanga
Source: Mwanahalisi Digital
Samehe 7 * 70.Bondia Maarufu nchini mh Mwakinyo amewataka Mashehe na Masharif wa Tanga kufanya jambo Ili iwe fundisho kwa wengine
Mwakinyo amesema Tanga ina wanazuoni wakubwa wanaoheshimika hivyo Kifo Cha Ally Mohamed Kibao kikatoe somo kwa Wote wanaouchezea mkoa wa Tanga
Source: Mwanahalisi Digital
Afande SELE ANADUNDA MPAKA LEOBondia Maarufu nchini mh Mwakinyo amewataka Mashehe na Masharif wa Tanga kufanya jambo Ili iwe fundisho kwa wengine
Mwakinyo amesema Tanga ina wanazuoni wakubwa wanaoheshimika hivyo Kifo Cha Ally Mohamed Kibao kikatoe somo kwa Wote wanaouchezea mkoa wa Tanga
Source: Mwanahalisi Digital
Natamani kuiona miujiza ya Tanga. Very eager to see or experience Tangas miracles, (software za wazee wa Tanga), nimezoea kutumia Chinese miracles tools and software kwaajili ya kutengenezea simuBondia Maarufu nchini mh Mwakinyo amewataka Mashehe na Masharif wa Tanga kufanya jambo Ili iwe fundisho kwa wengine
Mwakinyo amesema Tanga ina wanazuoni wakubwa wanaoheshimika hivyo Kifo Cha Ally Mohamed Kibao kikatoe somo kwa Wote wanaouchezea mkoa wa Tanga
Source: Mwanahalisi Digital
Huo ndo unaona uchawi, kumuua yule mzee kwenu ni Ibada sio?Bro nilijua anaongea jambo la maana kumbe anawaza uchawi tu
Wazo Zuri.Bondia Maarufu nchini mh Mwakinyo amewataka Mashehe na Masharif wa Tanga kufanya jambo Ili iwe fundisho kwa wengine
Mwakinyo amesema Tanga ina wanazuoni wakubwa wanaoheshimika hivyo Kifo Cha Ally Mohamed Kibao kikatoe somo kwa Wote wanaouchezea mkoa wa Tanga
Source: Mwanahalisi Digital