Mwakinyo: Mashehe na Masharif wa Tanga wafanye jambo Ili iwe fundisho, siyo kila jambo aachiwe Mungu kuamua!

Mwakinyo: Mashehe na Masharif wa Tanga wafanye jambo Ili iwe fundisho, siyo kila jambo aachiwe Mungu kuamua!

Kumuachia MUNGU ni pamoja na kumuomba yy afanye kwa mapenzi yake, sasa hiki kisomo kwamba wakifanye na si kumwachia MUNGU maana yake hiki kisomo ni against MUNGU au ni kumsaidia mungu?
 
Kwamba kifo cha mtu ni siasa!? Au unataka kusema kuna wanasiasa waliofanya hayo mauaji!? Mbona kama wewe ndo unalwta siasa kwenye jambo lisilo na siasa!? Mtu kashauri Masheikh na wazee wafanye jambo (bila shaka ni la kiroho) kuwaumbua wauaji wewe unakuja na ngonjera za kumtisha aache!? Watu kama wewe ni mzigo kwa taifa na ndo mmefanya hii nchi iwe hapa ilipo.
ni ushauri nimempa ndugu wala sio kwa ubaya
 
Mwakyembe alimwambia hivyo hivyo Roma Mkatoliki leo Roma Anaishi Marekani anakula Bata.
Mwakyembe yuko wapi? Si kapotea kwenye siasa?

Kuna vitu vinatokea kwa makusudi ya Mungu. Roma ni kama walimpiga teke Chura.

Unadhani Mwakinyo asipofanya Ndondi hataishi? Fikra za kijima sana hizi.
habari ya mweshimiwa mwakiembe inakakaje hapa ndugu
 
Mkuu kwa hilii haijalishi wewe ni mcheza mpira au karate .kwa kila binaadamu lazima limuume
ni kweli msiba unagusa kila mtu hasa watu wa karibu lakini mihemko isishike hatamu kipindi hiki kigumu
 
Bondia Maarufu nchini mh Mwakinyo amewataka Mashehe na Masharif wa Tanga kufanya jambo Ili iwe fundisho kwa wengine

Mwakinyo amesema Tanga ina wanazuoni wakubwa wanaoheshimika hivyo Kifo Cha Ally Mohamed Kibao kikatoe somo kwa Wote wanaouchezea mkoa wa Tanga

=========

Mwakinyo ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Instagram:

Ipo haja kubwa ya mashekh, masharifu, na wanazuoni wakubwa wa TANGA kwa pamoja tufanye jambo la maapizo zuri tu iwe fundisho kwa wengine. Hizo elimu zenu za kuwa mnataka kila jambo aachiwe MUNGU na silaha mnazo mnaukosea mji wetu na sio sawa. Waliofanya wafanywe kama walivyofanya itarahisisha mambo kua mengi al kisasi haki. 💪🏼


- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Kwa hili kila mtu limemgusa.
Bado kidogo nchi itafumula wananchi wataanza kusikilizana wenyewe bila kusimamiwa na hapo ndio machafuko yanakoanziaga
 
Back
Top Bottom