Maisha ni kutafuta mzeeHaaaaahaaaaa yule anaitwa chidy mtoto wa mjini mjanjamjanja hv miaka ya nyuma alikuwa anaigiza na akina dude bongo daresalam mi mwenyewe nikashangaa kumuona siķu ile nikajiuliza kaanza lini upromota? Nilicheka saàaaana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ni kutafuta mzeeHaaaaahaaaaa yule anaitwa chidy mtoto wa mjini mjanjamjanja hv miaka ya nyuma alikuwa anaigiza na akina dude bongo daresalam mi mwenyewe nikashangaa kumuona siķu ile nikajiuliza kaanza lini upromota? Nilicheka saàaaana
Mwakinyo mwoga.Mwakinyo yupo sahihi kabisa
Wapigane tu,,pambano lisilo na ubingwa.Kweli kabisa, Twaha atafute kwanza mapambano ya hadhi ili afahamike duniani end then wakiwa best wanaweza kwenda kutuanga hata Madagascar wakavuna pesa
Nitajie mabondia wa juu aliopigana nao ukitoa yule aliempa umaarufu pale uingereza.Kwa hyo mabondia wanaopigana na Twaha ndio real boxers? Na matokeo huwaje? Acha uongo mwakinyo anapigana na mabondia wajuu na anashinda ndio maana anashika nafas ya 24 duniani kwenye uzito wake.
Nitajie mabondia wa juu aliopigana nao ukitoa yule aliempa umaarufu pale uingereza.
Kwahiyo apigane tu kutafuta sifa na kukuridhisha wewe mkuuWapigane tu,,pambano lisilo na ubingwa.
Mwakinyo ni muoga.
Inaonyesha kwa jinsi gani sio bondia mzr.
Nisaidie mtaalam wa Boxer, kwa Uzito wa Kiduku na Mwakinyo wanaruhusiwa kupigana!?Hao ndio dizaini wa kulinda heshima ya Mwakinyo, real boxer hataki kupigana nao
utauzaje bidhaa kimataifa soko landani halijatoshaTatizo la Twaha Kiduku ni kumsikiliza Babu Tale! Badala ya kuwaza kuitangaza nchi Kimatifa, yeye anawaza kupambana na Wabongo wenzake, huku akiwakamia ili mwisho wa pambano azawadiwe Toyota Crown, Brevis, nk. Badala ya Mikanda ya Kimataifa.
Ujanielewa toa Eggington baada ya hapo nitafutie bondia aliekuwa juu ya mwakinyo na wakapigana hata uyo mayala kipindi wanapigana alikuwa na stars ngap na alikuwa namba ngap africa.Eggington, Anthonio mayala. Kimsingi bondia hawaz kupanda nafas kwa kuwapga vibonde
utauzaje bidhaa kimataifa soko landani halijatosha
Kwani anapigana bure?Kwahiyo apigane tu kutafuta sifa na kukuridhisha wewe mkuu
Anazikimbia ngumi za Kiduku
Kwani wapo katika rank moja? Mlinganisho wa weight n.k upoje?Hamna kitu hapo zaidi ya kumkwepa Kiduku
Angalia win zake ni kina Dula, mada maugo. Ni wazi anatakiwa kutafuta mapambano ya viwango na ashinde ili amsogelee mwakinyo. Sio kupigana na Dula na mada maugo na kuvimba kichwa. Juzi juzi hapa kaenda Kazakhstan akala kipigoUjanielewa toa Eggington baada ya hapo nitafutie bondia aliekuwa juu ya mwakinyo na wakapigana hata uyo mayala kipindi wanapigana alikuwa na stars ngap na alikuwa namba ngap africa.
Hawaruhusiwi, ila kiduku anaweza kushusha uzito then wakapiganaNisaidie mtaalam wa Boxer, kwa Uzito wa Kiduku na Mwakinyo wanaruhusiwa kupigana!?