kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Mwakinyo kwa Kiduku hata round ya 5 hafikishi, hao mapromota waendelee kumletea mabondia wabovu, na ndio maana Mwakinyo hata Russia athubutu kwenda kupigana kule anajua atapigwa while Kiduku na Dulla mara nyingi tu huwa wanaenda kupigana Russia,
Mwaki kulinda career yake uwa anataka kupigana na mabondia wenye uwezo mdogo hata huyo mnamibia sidhani kama anafikia rekodi ya Kiduku au Dulla.
Wazee waliostaafu